Pole, piia kuna dawa ya sisimizi inaitwa Akheri Powder ni nzuri sana.
duu jamani hata dawa ya ccmiz mpaka aku pm? wot z so special?Tafuta dawa inaitwa SUPER 10 inauzwa na hawa watu wa GLND imenisaidia sana.Ni PM jtatu nitakuagizia wapi ukanunue na shs ngapi.
Unatafuta 'Dawa',au sumu?
duu jamani hata dawa ya ccmiz mpaka aku pm? wot z so special?
Duh, kweli great thinkers, nimeipenda hii
Jamaa atakuwa wa GNLD anatafuta mteja hapo
Pole, piia kuna dawa ya sisimizi inaitwa Akheri Powder ni nzuri sana.
mbona mmekaa kimauaji tu?hebu wapeni haki yao ya kuishi! unaonaje ukiwawekea hivyo vyakula wanavyovifuata ndani sehemu kama bustanini au kwenye yard yako?kitu kingine sisimizi ni wadudu wa msimu ukiwaona ndani basi ujue wanakimbia 'mafuriko'nje wahurumie!mi hata mbu huwa nawategeshea mguu wavyonze waende zao halafu nalalaa bila bugudha!na nina chumba changu special kwa ajili ya kunguni , mende na mapanya!