Siasa na Dini mapacha wanaofanana ama wasiofanana?

Siasa na Dini mapacha wanaofanana ama wasiofanana?

dini ni uongo unaoelekea kupitwa na wakati...
Hilo nikweli, dini ni kitu kinachoweza kuisha natusijejua kama kulikuwepo dini, Na kwa sababu ya masrahi ndio maana tunaona maaskofu Na wachungaji wamekuwa Wa kwanza kutenda maovu katka jamii Na wanakuwa Wa kwanza kusema uongo nk,
 
Kiongozi wa dini akiisifia serikali, hakuna tatizo ila ukikosoa ndo tatizo. Huu nu upuuzi kwani kazi ya viongozi wa dini ni kukemea uovu bila kujali unafanywa na nani.
 
Dini inahusika na mambo ya roho ,a siasa inahusika na mambo ya mwili. Roho ikitengana na mwili hicho huitwa kifo. Basi, Kwa kuwa roho hukaa ndani ya mwili na sivinginevyo, dini na siassa havitengani kamwe.
 
Dini hazikubaliani na maovu katika jamii. Viongozi wa dini ni lazima wakemee maovu - mauaji, wizi, maonevu na nk. Sio vema mambo ya ovyo yafanyike katika jamii na viongozi wa dini wakae kimya. Sio vema mambo yanayohatarisha usalama, umoja, ustawi wa jamii yatendeke katika jamii na viongozi wa dini wasiyakemee.
 
Kanisa ni sehm ya kuabudia na watu wanakutanika pale kwa lengo la kumwomba aliyewaumba
Chama cha siasa ni sehemu watu wanapokutanika kujadili maslahi ya watu na jinsi ya kuwaongoza
 
Hilo nikweli, dini ni kitu kinachoweza kuisha natusijejua kama kulikuwepo dini, Na kwa sababu ya masrahi ndio maana tunaona maaskofu Na wachungaji wamekuwa Wa kwanza kutenda maovu katka jamii Na wanakuwa Wa kwanza kusema uongo nk,

Mkuu hayo makanisa yanayoota kama uyoga mengi ni maagent wa shetani(freemasons)! Mengi yapo kwa wahusika kutumikia matumbo yao na ni kinyume cha maagizo ya Mungu i.e Kanisa la Mchungaji Getrude Rwakatare kuna Mungu pale anayeabudiwa!? Mtume Paulo ametuasa kupitia Timotheo kuwa mwanamke hawezi kuongoza wanaume kiimani! Siku hizi wameshupaa eti wakiwezeshwa wanaweza wakati kwanza wao hawapendani!
 
Back
Top Bottom