Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Kama Lowassa alikuwa na nia njema ya kuwatumikia wananchi wa Tanzania na sio maslahi binafsi/kifisadi basi:-
1. Alipaswa kwenda UKAWA kabla ya kushindwa CCM.
2. Alipaswa kutubu/kuungama juu ya ufisadi na uonevu wote alioshiriki na anaoufahamu (kufanywa na CCM) dhidi ya Taifa hili.
3. Alipaswa ajitenge na kuonekana hivyo kuwa SASA anachukia rushwa, ufisadi na uonevu.
NB: Kwa wale wasio jua (wengine wamesahau), Lowassa ni katili sana. Jimbo lake la Monduli wapinzani wameuawa, wameumizwa na wengine wengi kupoteza mali zao na hata kulazimika kukimbia. Iweje leo hayo yote yasahaulike na ghafla tu mumfanye mmoja wa UKAWA?
1. Alipaswa kwenda UKAWA kabla ya kushindwa CCM.
2. Alipaswa kutubu/kuungama juu ya ufisadi na uonevu wote alioshiriki na anaoufahamu (kufanywa na CCM) dhidi ya Taifa hili.
3. Alipaswa ajitenge na kuonekana hivyo kuwa SASA anachukia rushwa, ufisadi na uonevu.
NB: Kwa wale wasio jua (wengine wamesahau), Lowassa ni katili sana. Jimbo lake la Monduli wapinzani wameuawa, wameumizwa na wengine wengi kupoteza mali zao na hata kulazimika kukimbia. Iweje leo hayo yote yasahaulike na ghafla tu mumfanye mmoja wa UKAWA?