Recent content by GLOBALIST

  1. GLOBALIST

    Pasaka wakristo Zanzibar wanakandamizwa na sheria za kiislam wasile hadharani, Serikali iingilie huu udini unaotugawa na kuleta chuki

    Taarifa yenyewe sasa: SERAKALI İnalaani (sisi tunasubiri tamko la Serikali, sio serakali) kweli Zenji ni Sera Kali (Radical Policy) ahsante Charles kwa kutuelewesha Aidha, Serikali ANAWAHIMIZA…. Huyo serikali ni nani? Ni mtu? Duh! Ndio Press namba 1 ya nchi hii 🏃🏾🏃🏾🏃🏾
  2. GLOBALIST

    Pasaka wakristo Zanzibar wanakandamizwa na sheria za kiislam wasile hadharani, Serikali iingilie huu udini unaotugawa na kuleta chuki

    Hujui kama ni video ya 2016 ile, utakuja kuolewa kwa nyuma kujifanya unajua mambo ili kuharibu tu hali ya hewa. Shangazi mzima hovyooo! Kabadili taulo huko chini ukalale, waache genius wa JF wa chat
  3. GLOBALIST

    Uchambuzi wangu Meseji ya CDF Mabeyo kuhusu kifo cha Hayati Magufuli

    Nimeona maandiko kadhaa yenye kumsifu aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo baada ya mahojiano yake ya video na Daily News Digital kuhusu namna alivyo-play role yake katika dakika za majeruhi za uhai wa Rais wa Awamu ya Tano, Dkt. John Pombe Magufuli...
  4. GLOBALIST

    Kuna tofauti gani kati ya masters degree na postgraduate diploma? Je, kwenye ajira faida zina utofauti gani?

    Postgraduate Diploma (PGD) ni daraja la kubadili fani. Mathalani umesoma Bachelor Degree ya Utawala na ungependa kuingia katika tasnia ya Fedha na Uhasibu, basi utasoma PGD ya Fedha/Uhasibu ambayo itakupa vigezo vya: Kujiendeleza kimasomo (Master’s Degree nk) katika fani ya Uhasibu/Fedha; au...
  5. GLOBALIST

    Kama una hofu ya Mungu pitia hapa

    Uliwaona matajiri, wenye PhD nk. Ina maana kila marehemu alibandikiwa net worth na CV yake katika paji la uso ama niaje?
  6. GLOBALIST

    Hayati Magufuli alitia sumu masuala ya chanjo, Serikali nywesheni maziwa

    Kwani alikataza hizo za surua na pepopunda?
  7. GLOBALIST

    Uliwahi kuona nini? Kwenye simu ya mtu, mke au ndugu cha ajabu

    Nilikutana na kujenga mazoea na mwanamke wa makamo. Tuliendelea kuwasiliana kwa muda mrefu hadi siku tuliyobahatika kukutana tena sehemu ileile na kuniomba nimrekebishie kitu katika simu yake. Nilipoishika, kama kawaida ya wengi, kisirisiri nilitembelea gallery yake ya picha kwa haraka...
  8. GLOBALIST

    Weka neno la kiingereza linalokusumbua kutamka usaidiwe hapa

    Nisaidie matamshi ya “Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis”.
  9. GLOBALIST

    Nitumie mbinu gani ili nikimtongoza anikubalie?

    Washirikishe wakubwa, huenda ukafanikiwa.
Back
Top Bottom