Hahaha...wambieni.wengi wao ndo kwanza wanatoka vyuo bado wanawengewenge na kazi..sa hiyo gross ya 960k net ni 800k.kwa DSM ukifanya kazi yenye net chini ya walau 1mio,ni mateso makali mno.hutatamani hata kukaa ukisema eti nipo tra mana watu watakuwa wanakung'ong'a tu...bora mkubali mikoani...
HV unadhani kam sio dili za tra watu wangekuwa wanapakimbilia? Kwa taarifa yako ingekuwa ni mshahara tu watu wangepapa kisogo kitaambo coz had I ufikie mshahara Wa 4m tra ujue ulishafnya kazi sio chini ya miaka kumi na tano...wakati kwenye taasisi binafsi kibao Huo ni mshahara Wa kawaida...
Tatizo watu wamekariri enzi za JK...HV unadhani kwann watu kibao wameondoka tra.kama una qualification zako lazima uchomoke hakuna janjajanja Tena.watu Wa magogoni kibao wamewekwa kila kona kuchunguza janjajanja..wale mtakao enda na perception ya kutoka harakaharaka subirini kwenda jela shortly
Jamaa alikataa offer ya tra mwaka Jana ilikuwa kama 800 hvi..sema watu wengi wamekariri ile tra ya enzi za analogy unapiga Pesa njenje..hii ya sasa hv ya digital ni kama mwalimu..lengo ni Ku standardize sector zote za serikali..
Hizo interview zilikuwa na vituko..kuna Mzee mmoja alikuwa kama na miak 55 HV afu Naye alikuja kwa interview..yani wale wasaili ilikuwa haiwangii akilini kbss kama yule Mzee hajazidi 45. Yani inabidi wakati mwingine tujifunze kuachana na haya maswala ya kuajiriwa vunginevyo nia aibu mtoto...
Yani ndomana wabongo hatutaweza kuendelea..eti kwa sababbu MTU kapata then hataki hta kusikia kama kuna watu wamechomekwa kibaooo..sasa hao watu tuliowapatia ambao wamepata afu hawako kwenye kuitwa kwa interview ya awali wametoka wapi? We are so selfish ndomana hatuwezi kupigania hata maslahi ya...
Chukua sample hii kisha compare na list ya awali ya majina ya walioitwa kwenye usaili kikanda then utakubaliana nami kuwa baadhi ya majina yamechomekwa au ndo kanzidata????...Irene Jackson Tairo,Flora Erasto,Martha Raymond Mlwilo.ukicheki wote wameitwa kazini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.