Japo nimekosa kazi TRA lakini ningependa kuwashauri mambo kadhaa Utumishi

Hizo interview zilikuwa na vituko..kuna Mzee mmoja alikuwa kama na miak 55 HV afu Naye alikuja kwa interview..yani wale wasaili ilikuwa haiwangii akilini kbss kama yule Mzee hajazidi 45. Yani inabidi wakati mwingine tujifunze kuachana na haya maswala ya kuajiriwa vunginevyo nia aibu mtoto uliyemlea mnakutana kwenye interview Tena ya level ya officer.." Kulima nako ni ajira" mazee
 
Mi naona umekosa ajira kwa kutumia "desipite of".....
Sidhani kama inaweza kuwa moja ya sababu lakini ilipaswa umwambie hivi
" Despite " huwa haitumiki na of ila badala yake " in sipite " ndyo huwa inatumika na " of " ingawa zote zina maana moja.
Lakini tukiachana na hayo kama unayoyasema kiongozi anauwakika nayo mi nadhani anaweza kufanya namna katika hili na haki ikatendeka, ukweli inaumiza sana na hii inaonesha ni namna gani ilivyongumu kupata kazi katika taasisi kubwa, kwa watoto wa wakulima, ambao hawana connection yoyote hapa Tz.
Lakini pia kama kuna watu wanaweza kumsaidia ili haki itendeke tafadhali jitokeze na kwakufanya hivyo mtakuwa mmewasaidia watu wengi sana.
 
Nilikuwa miongoni mwa vijana tuliobahatika kufanya oral ya custom officer ii pale utumishi 27/09/2017,ukiniuliza kwa nini sijapata kazi,kwa harakaharaka nitakujibu tu kuwa huenda sina bahati kwa sababu nilichokijibu kwenye ile interview sidhani kama kina tofauti kubwa na hawa wenzangu waliopata kazi.so despite of all odds,ningependa kutumia fursa hii kuwashauri utumishi mabo kadhaa ambayo nadhani ni bora wakayafanyia kazi ili kuondoa sintofahamu miongoni mwa watanzania wengi nikiwemo na mimi pia.

1. Nawashauri utumishi wawe wanatoa kwanza marks za watu walizopata kwenye oral kabla ya kuwaita kazini wale watakaokua wamepata marks za juu kuliko wengine,sasa hivi mtu unashangaa hujaitwa kazini halafu ukikumbuka unaona kuwa ulifanya vizuri tu ile interview,so ili kondoa utata huo wawe wanarelease marks za wadau kwanza kama wanavyofanyaga kwenye written ili mtu aone alichokipata.

2. Wakiona namba moj haifai,basi waweke utaratibu wa kuwajulisha wale watakaokua wamewaweka kwenye data base zao kuwa wamefaulu but kwa sasa wamewaweka kwenye data base kwanza ili nafasi ikitokea waweze kupewa wao kwanza,utaratibu unaotumika sasa ni wa hovyo na unaleta malalamiko coz ni rahisi kwa wao kupachika mtu wao kwa kigezo cha kwamba alikua kwenye database.

3. Rushwa na vimemo vimetawala utumishi,ingawa Raisi anapigana usiku na mchana kujaribu kuondoa huu uozo lakini utumishi bado kuna wafanyakazi wasiokua waaminifu wanachukua rushwa ili kuwapatia ajira watu,kwenye suala la vimemo ndio usipime,kuna mtu namfahamu hakuomba hata hizi kazi,lakin nashangaa jina lake naliona na mbaya zaidi sasa hivi tunavyoongea yuko uingereza,sasa sijui hiyo kazi atafanyia huko uingereza au atarudi.

4. Jaribuni kufanya interview in a proffesional way,binafsi nilifanyia usaili wangu pale chumba namba tano,na niseme tu kuna mzee mmoja alikua kwenye ile panel sijui hata utumishi walimuokotea wapi yule mtu, anaonekana ni mzee ambae ana stress za maisha kwa wale ambao hamkuingia kwenye panel yetu mnaeza mkamkubuka.

Siku ile tunafanya oral ya custom ile asubuhi wakati tunaitwa majina yeye ndiye alikua anatoa matangazo,akawa anafokea watu hovyo,so imagine mtu uko kwenye chumba cha usaili yeye anakufokea eti kisa umechelewa kutoa vyeti nilimshangaa sana nikjisemea utumishi wanatoa wapi watu wa aina hii.

So utumishi jaribuni kuweka watu wa maana kwenye panel zenu achaneni na watu wenye stress za kustaafu kama yule mzee.

Mwisho nawatakia kila la heri wote mliobahatika kupata kazi tra,sisi ngoja tusubirie za makatibu kata huko labda ndio tunaweza kupata.
Mkuu niongezee kwa kusema tu mchakato haukuwa huru na wa haki watu walikuwa na maswali kuanzia written mpaka oral binafsi ningeshauri mchakato urudiwe
 
Mkuu ungetoa jina la huyo wa uingereza tukomeshe huu uhuni hata hivyo toka mwanzo nilisema mchakato huu umegubikwa na kila harufu ya rushwa
 
Hiyo kuhusu kujibu aiseee! Nimesoma #1
Watafute wakupe sababu, hii kitu inaruhusiwa duniani ili uweze kujipanga vizuri. Kwa kujifananyisha na wengine kihivyo sishangai why umekosa kazi.. mengine endelea kuyasoma mwenyewe.. hayo tu ni kama CV nimeitupa tayari kwenye bin.

Umeandika nini hichi hakieleweki
 
Nilikuwa miongoni mwa vijana tuliobahatika kufanya oral ya custom officer ii pale utumishi 27/09/2017,ukiniuliza kwa nini sijapata kazi,kwa harakaharaka nitakujibu tu kuwa huenda sina bahati kwa sababu nilichokijibu kwenye ile interview sidhani kama kina tofauti kubwa na hawa wenzangu waliopata kazi.so despite of all odds,ningependa kutumia fursa hii kuwashauri utumishi mabo kadhaa ambayo nadhani ni bora wakayafanyia kazi ili kuondoa sintofahamu miongoni mwa watanzania wengi nikiwemo na mimi pia.

1. Nawashauri utumishi wawe wanatoa kwanza marks za watu walizopata kwenye oral kabla ya kuwaita kazini wale watakaokua wamepata marks za juu kuliko wengine,sasa hivi mtu unashangaa hujaitwa kazini halafu ukikumbuka unaona kuwa ulifanya vizuri tu ile interview,so ili kondoa utata huo wawe wanarelease marks za wadau kwanza kama wanavyofanyaga kwenye written ili mtu aone alichokipata.

2. Wakiona namba moj haifai,basi waweke utaratibu wa kuwajulisha wale watakaokua wamewaweka kwenye data base zao kuwa wamefaulu but kwa sasa wamewaweka kwenye data base kwanza ili nafasi ikitokea waweze kupewa wao kwanza,utaratibu unaotumika sasa ni wa hovyo na unaleta malalamiko coz ni rahisi kwa wao kupachika mtu wao kwa kigezo cha kwamba alikua kwenye database.

3. Rushwa na vimemo vimetawala utumishi,ingawa Raisi anapigana usiku na mchana kujaribu kuondoa huu uozo lakini utumishi bado kuna wafanyakazi wasiokua waaminifu wanachukua rushwa ili kuwapatia ajira watu,kwenye suala la vimemo ndio usipime,kuna mtu namfahamu hakuomba hata hizi kazi,lakin nashangaa jina lake naliona na mbaya zaidi sasa hivi tunavyoongea yuko uingereza,sasa sijui hiyo kazi atafanyia huko uingereza au atarudi.

4. Jaribuni kufanya interview in a proffesional way,binafsi nilifanyia usaili wangu pale chumba namba tano,na niseme tu kuna mzee mmoja alikua kwenye ile panel sijui hata utumishi walimuokotea wapi yule mtu, anaonekana ni mzee ambae ana stress za maisha kwa wale ambao hamkuingia kwenye panel yetu mnaeza mkamkubuka.

Siku ile tunafanya oral ya custom ile asubuhi wakati tunaitwa majina yeye ndiye alikua anatoa matangazo,akawa anafokea watu hovyo,so imagine mtu uko kwenye chumba cha usaili yeye anakufokea eti kisa umechelewa kutoa vyeti nilimshangaa sana nikjisemea utumishi wanatoa wapi watu wa aina hii.

So utumishi jaribuni kuweka watu wa maana kwenye panel zenu achaneni na watu wenye stress za kustaafu kama yule mzee.

Mwisho nawatakia kila la heri wote mliobahatika kupata kazi tra,sisi ngoja tusubirie za makatibu kata huko labda ndio tunaweza kupata.
Haya malalamiko watumie utumishi moja kw moja.
Na wtakujibu
 
Huyu mariam silas malipula unamfahamu vizuri au umeamua kuchafua
Nina hakika humfahamu vizuri na unaenda kisa la jinai la mitandaoni fanya uchunguzi wa kina ndiyo utoe taarifa sahihi angalia usijeingia kwenye matatizo kwa ushauri wangu naiomba umutake radhi na ufute kauli yako
 
Back
Top Bottom