- Thread starter
- #61
Yes hata mie nilipata bila kujuana na mtu so nilijua atapita,bt may be hakutimiza vigezo,hivi kumbe haya mambo ya kubebana yaliyokua yanasemwa na wadau humu yapo kweli huko utumishi?
lakini mbona sisi wengine tumepata pasipokumjua mtu yeyote?