agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
tunakosa mengikabisa maana 300,000 na kyuti kipya sio mchezo hasa ukiizingatia vyuma vilivyokaza
tunakosa mengikabisa maana 300,000 na kyuti kipya sio mchezo hasa ukiizingatia vyuma vilivyokaza
Kwanini usiende pm au ndiyo unatafuta na mchepuko hapa..??0659629063 nicheck
O'wa mawe..!0659629063 nicheck
Niko hapa nimetoka funga ndoa juzi, ni RC Nina urefu huoWakuu,
Kuna ndugu yangu anategemea kufunga harusi mwezi wa kumi na moja, imekuwa changamoto kidogo kwa upande wake kupata mtu wa kumsimamia harusi. Kwani amekuwa akipata mtu either dhehebu tofauti au anakuwa mfupi hivyo tumeona iwe fursa kwa mwenye vigezo.
VIGEZO
- Awe mrefu, asipungua cm 170
- Awe anasali RC
- Awe ameoa
MALIPO
- Atapewa suti nzuri, yenye kiwango cha juu na mke wake atatafutiwa nguo nzuri (atachagua yeye)
- Laki na nusu na mke wake laki na nusu
Kwa aliye tayari anitumie sms inbox wakuu
Asanteni sana
Pia mkumbuke kuwalipia ZAKA ZA MWAKA HUU KAMA HAWALIPAWakuu,
Kuna ndugu yangu anategemea kufunga harusi mwezi wa kumi na moja, imekuwa changamoto kidogo kwa upande wake kupata mtu wa kumsimamia harusi. Kwani amekuwa akipata mtu either dhehebu tofauti au anakuwa mfupi hivyo tumeona iwe fursa kwa mwenye vigezo.
VIGEZO
- Awe mrefu, asipungua cm 170
- Awe anasali RC
- Awe ameoa
MALIPO
- Atapewa suti nzuri, yenye kiwango cha juu na mke wake atatafutiwa nguo nzuri (atachagua yeye)
- Laki na nusu na mke wake laki na nusu
Kwa aliye tayari anitumie sms inbox wakuu
DEAL DONE!!!
Haikuhusu fanya yako mbwa wwKwanini usiende pm au ndiyo unatafuta na mchepuko hapa..??
Cha wote bila shaka..! Pole yake huyo mlinda vichuguu..! Kumbikumbi wanatoka arufajiri..Haikuhusu fanya yako mbwa ww