Jamani! ! Apumzike kwa amani. Siku wa namfahamu ana kwa ana, ila kwa kusoma michango yake humu ilikuwa kama namjua. Poleni sana mlioguswa na msiba huu.
Mleta mada kweli ni Dr. Wa buguruni, maana hii hadithi Yake Mara jamaa alikuwa anasubiriwa kufungisha ndoa Mara kauwawa kwenye ujambazi. Sijui lengo ni kumtetea marehemu au kuthibitisha yaliyosemwa na Grader.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.