lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,424
- 25,661
Hahahaha subiri Jumatatu Mkuu... Ni siku ambayo siasa zinaenda kubadilika katika nchi hii....
Na ifikapo oktoba kutakuwa na only two people kwenye ballot box, hakuna kugawana kura this time....
Mkuu..dokeza kidogo watu waelewe...