Mwanza leo imetikisika mapokezi ya Magufuli, wenyeji wanasema haijawahi kutokea tangu ujio wa marehemu Baba wa Taifa Julius
Nyerere.
http://michuzi-matukio.blogspot.com
Crimea
Dkt.Magufuli ni Mcha Mungu:
Kutoka kushoto: Janet Magufuli, Kadinali Pengo na Dkt.Magufuli
SHEHE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum akisalimiana na Dkt.Magufuli kipindi anawasili akitokea Dodoma.
Umepotea tafuta kingine, sehemu unayosema Mussa na Sundi waliuziwa nyumba si kweli kwa kuwa kulikuwa na Makontena na baadae yalivunjwa ikajengwa nyumba akapewa mtumishi wa Umma kwa sasa pale Makontena yale hayapo Tena.
Huyo Musa alienda TBA kufanya field ya shule ya masters degree. Na kwa...
WAZIRI wa Ujenzi, Dkt.Magufuli, anapewa nafasi kubwa ya kupitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea wake wa nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Raia Mwema limeambiwa.
Mchakato wa kutafuta mgombea ndani ya CCM unatarajiwa kuhitimishwa Jumapili wiki hii mjini Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.