Magufuli amtembelea Askofu Malasusa

Magufuli amtembelea Askofu Malasusa

Askofu Dr Alex Malasusa hapatani kabisa na Mh Edward Lowassa (japo ni mLutheri). Lowassa alishajaribu kumuengua Malasusa kwenye kiti cha uAskofu. Magufuli kwenda kumtembelea itakuwa heshima kubwa kwa Malasusa na waLutheri.
 
Askofu Dr Alex Malasusa hapatani kabisa na Mh Edward Lowassa (japo ni mLutheri). Lowassa alishajaribu kumuengua Malasusa kwenye kiti cha uAskofu. Magufuli kwenda kumtembelea itakuwa heshima kubwa kwa Malasusa na waLutheri.

Huyu Askofu Malasusa asituletee za huko wasalimiane tu kama muumini si vinginevyo kamwe hatwezi kulishwa mkate uliopakwa pilipili.
 
Mkatoliki kindakindaki


Kama Magufuli atachaguliwa Kuwa rais, atakuwa rais mkatoliki wa tatu baada ya Nyerere na Mkapa. Sina uhakika ni bahati au ni mkakati wa kanisa katoliki kwamba Kila rais mkiristo ni lazima awe mkatoliki. Malecela alipigwa zengwe na Nyerere akajitoa ili Mkapa awe rais na kama mnavyojua Malecela ni anglikana na safari hii Lowasa(Lutheran)amepigwa zegwe kumpisha Magufuli(mkatoliki).
Nipo tayari kusahihishwa kwa hili.
 
mmmmh wanasiasa wengi huwatumia viongozi wa dini ili kufanikisha malengo yao...
 
Kama Magufuli atachaguliwa Kuwa rais, atakuwa rais mkatoliki wa tatu baada ya Nyerere na Mkapa. Sina uhakika ni bahati au ni mkakati wa kanisa katoliki kwamba Kila rais mkiristo ni lazima awe mkatoliki. Malecela alipigwa zengwe na Nyerere akajitoa ili Mkapa awe rais na kama mnavyojua Malecela ni anglikana na safari hii Lowasa(Lutheran)amepigwa zegwe kumpisha Magufuli(mkatoliki).
Nipo tayari kusahihishwa kwa hili.

Mkakati wa kanisa kivipi? au unamaanisha kanisa katoliki ndio serikali?
 
Back
Top Bottom