wewe kiumbe unaonekana si timamu,hawa wamachinga walianza kufanya biasharapale mashine 3 kipindi monika mbega ni mbunge ,sasa swali kwanini waanzebuguziwa wakati upinzani wamechukuwa jimbo,napenda nikupe ushauri inaonekana wewe unania ya kugombea ubunge iringa, ni haki kikatiba lakini ni wengi...
Huna kazi ya kufanya zaidi ya kufatilia maisha ya watu unakuwa kama mwanamke,jaribu hata siku kuandika mambo yenye maana yakuelimisha sio kila siku unaleta utumbo hapa sio sehemu ya kutafuta sifa wewe una pesa sana unaweza ukamsafirisha mtu UK,badilika acha ulimbukeni.
FURUSA NZURI KWA TZ,SASA SWALI KAMA NIKO SAWA CHINA NA TZ WANAPOINGIA MKATABA WA UJENZI WA BANDARI BAGAMOYO,SHARTI MOJAWAPO NI KUTOKUWEPO KWA BANDARI PINZANI KAMA Km200 SASA HAPO KWA BANDARI YA DAR ITAKUWA VP?
Habari wana JF,Mimi huwa natatizika sana na hawa wabunge hasa wa CCM unakuta anatoka ktk sehemu zenye matatizo ni balaa, lakini badala ya kuwatetea wananchi waliowatuma wanatetea chama.USHAHURI WANGU MBUNGE ANAE UNGA HOJA 100% AKISHA UNGA OJA AKAE CHINI HAKUNA MAANA TENA YA KUENDELEA KUANZA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.