Recent content by Gilda Mushi

  1. G

    Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

    Views za youtube zinanunulika kabisa. Ningependa niwaoneshe mfano. WanaJF wenyewe mchague video niongezee views 5,000 za mfano.
  2. G

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Nashukuru kwa jibu hilo zuri
  3. G

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Alishakuomba Rushwa ya shilingi
  4. G

    Mange Kimambi ni Spika ya Redio tu

    Kwahiyo kwavile sijachangi, au nina miezi saba, ai ni thread ya kwanza siwezi kuongea point, wewe uliyejiunga mwanzo heri yako, ila kama kuna watu na wewe walikupita basi kaa tulia jibu hoja acha kuattack personality. Ukiona unamshambulia mtu na si hoja basi wewe umekwisha.
  5. G

    Mange Kimambi ni Spika ya Redio tu

    Usimuamini Muongo hata akiongea ukweli
  6. G

    Mange Kimambi ni Spika ya Redio tu

    Mi ninauliza nyie mliomtukana wakati ule nini kimebadilika leo unamuamini?
  7. G

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Leo wewe unamuona ana akili, alivyokua anamsema Lowasa mkamuona kichaa leo akili kazitoa wapi?
  8. G

    Mange Kimambi ni Spika ya Redio tu

    Najua watu wengi kwenye mitandao ya kijamii wanamfahamu Mange kwa kuongea kwake kwingi na mamb mengi anayoyafanya kwenye mitandao hiyo. Kwa sasa Mange amekua ni gumzo kutokana na Sauti inayosemekana ni ya Mwamvita Makamba aliyoiweka kwenye ukurasa wake wa Instagram. Baadhi ya watu wameonekana...
  9. G

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Kikubwa ninachoshindwa kuelewa kwenye hili ni inakuaje watu waliokua wakimtukana Mange wakimuita hana akili, wakimtukana kila aina ya tusi chini ya jua hili leo wanamuona kua ni mtu jasiri anaetetea nchi na mwenye upendo wa dhati? Miezi michahe mlikua mkimtukana kwa vile tu alikua akiandika...
  10. G

    Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

    Mimi huwa kuna vitu napatashida sana kuelewa.. ukiangalia ile video utaona yule kijana kazungusha mkono kwa nyuma wakati wote mama regina anaongea, sasa najiuliza kwanini hakumzuia tangu mwanzoni? alafu kwanini watu wa ukawa wavujishe hii video? nini lengo laa haya yote? ina maana hawamtaki...
  11. G

    Hili la "kulinda kura" sawa ila watangulie hawa

    KUlinda kura ni kazi ya wakala
  12. G

    Hili la "kulinda kura" sawa ila watangulie hawa

    Ni ushauri wangu kuwa tusikubali kutumika kama daraja la watu kupita, wengi wanayao amabyo kwa macho yetu ya kawaida hatuwezi kujua nia nyingne ambazo hawazisemi... those guy are empty handed bt not empyty mind...wanayao wanayotaka kuyakamilisha as soo asa they resume the powe, hivyo ni oombi...
  13. G

    Hili la "kulinda kura" sawa ila watangulie hawa

    Mungu ailinde amani ya nchi yetu..kwani pasipo yeye hakuna mwingi
  14. G

    Hili la "kulinda kura" sawa ila watangulie hawa

    Kila mmoja natamani kuona uchaguzi ukiwa wa huru na wa haki ili mwisho wasiku Tanzania ipate kiongozi bora.. Ila kila chama kina simammisha wakala zaidi ya mmoja hii ni kuhakikisha kua kunakua na ulinzi wa kutosha.. Sasa napata mashaka na hawa wachache wanaosema watalinda kura, unawezaje kulinda...
Back
Top Bottom