huo ni udhalilishaji....udereva ni professional kama zingine. iweje wao warud darasan kila baada ya miaka 3? basi iwe ivo na kwa madaktari...manesi..wahasibu....kwa nini wao? huo ni uonevu wa hali juu. basi wangerudishwa darasan bure...si kulipa ada tena. na wkt alishajinyima na kwenda shule.
acha kujidanganya. uchumba ni rahis kuvunjika kuliko ndoa. angekuwa taaban asingeoa. ila anampenda mkewe na keshajua ww ni mteremko tu......w kupumnzikia. wake up girl....
dah...kweli huna huruma. hizo 40 zenyewe ni kwa wanaopona hrk. wengine unakuta bdo hayuko sawa. lol acha tamaa kwaiyo akifa hata kabla hujamaliza aruabain utatafuta wa kumgegeda? mi wangu aliingia labor na mim. hata miez mitatu ilivyoisha alikuwa anaamini cjapona. chezea kuleta kiumbe...
enzi za mababu ilikuwa mwanamke akizaa anahama kabisa chumban ( kwa wenye uwezo) wengine walikuwa warud hm kwao au kwa wakwe had 40 iishe. hii ni kuavoid kumtamanisha mzee. hapo miezi 3 angalau. mi nikitoka kujifungua iyo mambo naona kama adhabu......
Mnachekesha kweli hizo bikra wasichana wanazitoa wenyewe.?Kama mnataka mabikra inaanzia kwa mwanaume. msiwarubuni wasichana msiokuwa na malengo ya kuwaoa.
Yaani huwa nawashangaa sana wanaume za watu wanaetegwa alafu wanaona big deal,yaani mngekuwa mnajua wake za watu tunavyotongozwa na wanaume wa maana kuliko walituoa ila tunakumbuka kiapo na kumkimbia shetan. sa ww kutegwa tu ivyo ushapanick. ukiwa na watano wanaokutega c utakuwa chizika na mkeo...
lol....yaan wakati mimi kucha zinakatika kukupikia. unaenda kukunwa mgongo na nyumba ndogo. ndugu tumeoana. ndo maana kanisan wote tuliapa. la sivyo wanaume wangekuw hawaapi. i do nob of the above kumridhisha mume . tumeagizwa upendo na sio utumwa. anaona upendo hautoshi chapa lapa......unaweza...
tatizo watanzania hatupendi kuwa wakweli. wengi wenu hapa mmeanza ngono mpm kama mchezo wa baba na mama. then tunadingizia kizazi cha sasa ni muendelezo tu wa kizazi kilichopita. tafauti ni technolojia. cha muhimu wazazi wajifunze kuongea na watoto wao kuhusu ngono salama. cse penda usipende...
my dia. R1500 kwa engagement ring ni ndogo. ina maana yale mawe unayoyaonaga kwenye pete kama tanzanite , diamonds n.k yatakuwa feki yaan vioo tu. izo ulizoonyesha hapo kama stones ni real then huwez pata. nenda kwa masonara ukaangalie pete inayoendana na budget yako. nenda gold street upite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.