Msaada wa kuchagua engagment na wedding ring

Msaada wa kuchagua engagment na wedding ring

Ina maana bondeni wanauza tanzanite/gold rings bei chee hivyo kuliko tanzania???

Duh kama ni hivyo basi wale wahindi wa Indira Ghandi wanawaibia sana wabongo....

Pete kama hizo especially zenye stones za tanzanite huwa ni zaidi ya 1000$...
 
Kama ndoa ni Kikristu inatakiwa "Plain wedding ring". Nenda kwa sonara wakupime vidole
 
Habari za jioni wadau,

Samahani na nlikua naomba msaada wenu katika selection ya engagement ring na wedding ring mana mimi ni mgen katika hii sekta na mtarajiwa wangu kaniambia chochte ntakachochagua ataridhika nacho ila bei yangu less than R1500 kwa pete 1.

Ntashukuru sana kwa msaada ndugu zangu.

Msaada wako ni untajie image gani na pete ipi iliotulia na ntashukuru mkitaja base na bei yangu nliotaja hapo juu na ambacho mnaona ipi itafaa kwa wedding na ipi for engagement.

my dia. R1500 kwa engagement ring ni ndogo. ina maana yale mawe unayoyaonaga kwenye pete kama tanzanite , diamonds n.k yatakuwa feki yaan vioo tu. izo ulizoonyesha hapo kama stones ni real then huwez pata. nenda kwa masonara ukaangalie pete inayoendana na budget yako. nenda gold street upite kwenye maduka. kama vip ni vizuri kwenda na partner....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom