Recent content by Gigajr

  1. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi dini inanafasi gani katika mapenzi?

    Dini roho yako tu bhanaa!sikuhizi watu wamepata pakujificha utasikia wakimtaja Mungu but mmmmh!ndoa na dini/dhehebu si sababu labda kama hajakupenda
  2. G

    JamiiForums Tanzania Spika Makinda ahairisha bunge ghafla baada ya muongozo wa Mh Mnyaa.

    acheni matusi banaa mnatia kinyaa
  3. G

    JamiiForums Tanzania Kinana: Lowassa safi, Nyalandu anazurura

    T2015 enl
  4. G

    JamiiForums Tanzania Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    nani alithibitisha kwamba kaiba??muulizeni mwenyekiti wake kuhusu Richmond kama mtapata majibu!MZEE wa watu hajasema chochote kazi kumuhukumu tu kwa choyo na wivu!chama kinajua nani kitamsimamisha kwa maslahi ya taifa hivyo tuwe na subira!
  5. G

    JamiiForums Tanzania CAG: Magufuli na Mwakyembe wawajibishwe

    kama anamakosa awajibike tu!hakuna HURUMA hapa kwa wale mnaomtetea!!kama msafi itajulikana na tutashukuru tumechoka kuibiwa jamani khaaaaaa
  6. G

    JamiiForums Tanzania Tusiwaonee sana Polisi(Nijikite Ilula-Iringa)

    navyojua Mimi,polisi wangetekeleza majukumu yao kwa urafiki na taratibu,raia wamekua wanaona polisi kama mnyama wa kuogopwa,lililofanyika halikua sahihi either side!nimeshuhudia siku moja watu wanakurupuka mbioo kisaa wameona gwanda!Rai Yangu..polisi wajitahidi kienforce sheria pasipo nguvu raia...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe aelezea suala la mabehewa feki, ajibu yaliyoandikwa Nipashe

    mmmmh!shida tuu nchi hii,hayaa bhana but kila mmoja akumbuke hututakufa na kwenda heaven or in hell na ofisi zetu wala fedha hata tukijilimbikizia vipi..wako wapi waliojidai kwenye magari ya kifahari?MZEE wa masauti?Iddi Amin?na wengne wengiii...Muogopeni Mungu
  8. G

    JamiiForums Tanzania Barabara mpya ya Msata-Bagamoyo inasambaratika hata kabla ya ufunguzi

    kwa mfano mdogo tu?hvi ukiambiwa unasafiri kwenda sehemu ya baridi kipi utaandaa kama si nguo zinazoendana na mazingira??kucngzia mfinyanzi that's not true at ol,no excuses kuna shida hapo
  9. G

    JamiiForums Tanzania Jinsi panya wanavyofundishwa kugundua mabomu SUA Morogoro kitengo cha APOPO

    Heri Mimi sijasoma!!
  10. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Magufuli aagiza Mkandarasi aliyejenga jengo wilaya ya Siha kukamatwa

    Fujoo tu kila kona!wanaojidai wasafi ndo wachafu mno,Mungu ibariki Tanzania
  11. G

    JamiiForums Tanzania TBC 1 inatumika vibaya kuhamasisha kura ya ndiyo Katiba pendekezwa

    Nchi hii kila mtu anafikiria kula tu kujaza tumbo!!kumbukeni Mali ya dhuluma haidumu na kifo ndo mwisho wa kila kitu!unajua utakufa lin??a cha ujinga simamia haki
Back
Top Bottom