Nani aliwahi kuongeza ata sekunde ya uhai wake?.Ukiona hujafa jua hakijafika,kifo kikifika hakuna namna lazima ufe.Na hakuna kiumbe anayeweza kupambana na sababu itakayosababisha kifo chake.mengine ni mbwembwe tu za binadamu.
Kinachoua ni kifo.Hivyo vingine ni sababu ya kifo.kila kifo lazima kiwe na sababu.Tatizo letu tunaacha kulaumu kifo tunalaumu sababu.Huyo ndugu yako asingekunywa angekufaje sasa wakati ilikua lazima kuwe na sababu yayeye kufa.apumzike kwa amani.
Kashauri tume yauchunguzi iundwe ndo ije na majibu.sasa wewe ndo tume?.kwani kunashida gani tume ikiundwa,au mnaogopa nini kifo cha Jpm kikichunguzwa?..Kwenye hii dunia lolote linawezekana kwahiyo acha wanaojua kudai haki za wapendwa wao wafanye hivyo.
Nchimbi yuko mahali ambako sio sahihi.anaonekana ni mtu anayetamani haki na usawa vitamalaki lakini hataweza kufanikiwa kwasababu ya uwepo wa wajinga wengi wanaofikiri siasa ni ugomvi na mabavu badala ya ushindani wa hoja na uwajibikaji.
wewe itakua ulikosaga kazi ndo maana una chuki na watumishi.maana unakaza tu fuvu kwa point na vingereza vingi vyakuunga unga.hiyo ripoti yako kuna sehemu wanaonyesha kua mifuko ilishindwa kwasababu yakulipa pensio na wastaafu?.Iko wazi kua mifuko ilikwama kwasababu ya ubadhirifu.watu walitumia...
Ku
na maeneo yamepelekwa hadi umeme na maji.Je nako serikali haikuona ni bonde.Tatizo linaanzia kwa serikali yenyewe kua na watendaji wasiowajibika sawa sawa.ikishafika gali hiyo wananchi nao wasababu ya ugumu wa maisha wanajitafutia maeneo rahisi yakuishi.
Tatizo lakuwapa watu wasimamie mambo ambayo siyo fani zao.Huyo mzee miaka yake yote alikua anashughulika na mambo ya uhasibu leo unamleta asimamie mambo yote ya utalii na uhifadhi plus jamii itakavyonufaika na hiyo taasisi lazima maelezo yapelee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.