Recent content by gigabyte

  1. gigabyte

    Shinyanga: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA

    Wewe agenda unayo?.au ujinga tu umekujaa kichwani.
  2. gigabyte

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Nani aliwahi kuongeza ata sekunde ya uhai wake?.Ukiona hujafa jua hakijafika,kifo kikifika hakuna namna lazima ufe.Na hakuna kiumbe anayeweza kupambana na sababu itakayosababisha kifo chake.mengine ni mbwembwe tu za binadamu.
  3. gigabyte

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Kinachoua ni kifo.Hivyo vingine ni sababu ya kifo.kila kifo lazima kiwe na sababu.Tatizo letu tunaacha kulaumu kifo tunalaumu sababu.Huyo ndugu yako asingekunywa angekufaje sasa wakati ilikua lazima kuwe na sababu yayeye kufa.apumzike kwa amani.
  4. gigabyte

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Kuna wapuuzi wanajionaga wao hawatakufa au waliokufa ni uzembe wao.Bila kujua kua kila mtu ataondoka kwa muda wake nakwasababu yake.
  5. gigabyte

    Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

    Kashauri tume yauchunguzi iundwe ndo ije na majibu.sasa wewe ndo tume?.kwani kunashida gani tume ikiundwa,au mnaogopa nini kifo cha Jpm kikichunguzwa?..Kwenye hii dunia lolote linawezekana kwahiyo acha wanaojua kudai haki za wapendwa wao wafanye hivyo.
  6. gigabyte

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Simba wanacheza bora liende.wachezaji utafikiri wana mawe kiunoni.na kocha hana mipango mbadala zaidi yakurusha mikono.
  7. gigabyte

    Wakati tuko Busy na Yanga na Simba watu wanagawana nchi

    Iko shida kubwa.Miaka kadhaa mbele nchi itakua na kizazi cha ovyo kupindukia.
  8. gigabyte

    Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

    Hakuna kisichojulikana nchi hii.changamoto zote ziko wazi.wala haziitaji mbwembwe kuzisikiliza.tatizo ni uwezo wakuzitatua hamna
  9. gigabyte

    Kwanini CHADEMA huwa inashindwa kusaidia wananchi hata kilo moja tu ya sukari wanapopatwa na matatizo?

    Kama ni hivyo ulitaka wakutangazie wewe kama nani?.
  10. gigabyte

    Dkt. Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali

    Nchimbi yuko mahali ambako sio sahihi.anaonekana ni mtu anayetamani haki na usawa vitamalaki lakini hataweza kufanikiwa kwasababu ya uwepo wa wajinga wengi wanaofikiri siasa ni ugomvi na mabavu badala ya ushindani wa hoja na uwajibikaji.
  11. gigabyte

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    wewe itakua ulikosaga kazi ndo maana una chuki na watumishi.maana unakaza tu fuvu kwa point na vingereza vingi vyakuunga unga.hiyo ripoti yako kuna sehemu wanaonyesha kua mifuko ilishindwa kwasababu yakulipa pensio na wastaafu?.Iko wazi kua mifuko ilikwama kwasababu ya ubadhirifu.watu walitumia...
  12. gigabyte

    Serikali kuingia gharama za kuhudumia waliovamia mabonde ya mito kwa kisingizio cha mafuriko ni matumizi mabaya ya Fedha za Umma

    Ku na maeneo yamepelekwa hadi umeme na maji.Je nako serikali haikuona ni bonde.Tatizo linaanzia kwa serikali yenyewe kua na watendaji wasiowajibika sawa sawa.ikishafika gali hiyo wananchi nao wasababu ya ugumu wa maisha wanajitafutia maeneo rahisi yakuishi.
  13. gigabyte

    USHAURI kwa Makonda na kampuni za utalii namna ya kukuza utalii jijini Arusha

    Tatizo lakuwapa watu wasimamie mambo ambayo siyo fani zao.Huyo mzee miaka yake yote alikua anashughulika na mambo ya uhasibu leo unamleta asimamie mambo yote ya utalii na uhifadhi plus jamii itakavyonufaika na hiyo taasisi lazima maelezo yapelee.
Back
Top Bottom