Recent content by gigabyte

  1. gigabyte

    Ninaishi na maumivu

    Pole sana.Pumzika kwa amani mtoto mzuri.
  2. gigabyte

    SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

    Ukichoandika hapa na utoto.Hizo ni ajali kama zingine na hazina uhusiano na siasa.Siasa zisitufanye tuwe wajinga.
  3. gigabyte

    SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

    Anataka kupangia watu,yeye nani anampangia maisha yake.Ukisikiliza hawa wana harakati wa bongo unaona jinsi gani tuna ufinyu wa kufikiri.Wanatabia yakulazimisha maadui zao wawe ni maadui wa kila mtu.Watanzania wanaweza kua wajinga ila sio kiasi chakuwafanya wasijue namna yakuishi na kuchagua...
  4. gigabyte

    Ummy Mwalimu: Allah ndie mpangaji na alipangalo ni bora kwetu. ALHAMDULILLAH

    Mambo ya kawaida kabisa kwenye chama chao.kwasababu nayeye mara ya kwanza aligombea akapata wengine wakakatwa.
  5. gigabyte

    Jf bhana!

    Jf ilikua zamani,sasa hivi ni ovyo ovyo tu.Afya ya akili ni tatizo kubwa kwasasa.
  6. gigabyte

    Kitendo cha Watanzania wengi kufurahia Taifa Stars kufungwa na Morocco kinapasa kifikishe ujumbe muhimu sana kwa Samia na CCM

    Sema wafuasi wa chadema maana wao ndio akili zao ni pungufu wanaambukizana ujinga.ni mjinga tu ndiye anayeweza kuichukia nchi yake na timu yake ya taifa kwasababu za kisiasa.
  7. gigabyte

    GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

    wengi wanachangia mada kwa mihemko.Hawana akili yakuwaza kama wewe ndo maana huyo polepole nawenzake wanajua akili zetu ndo maana wanajiongelea tu wakijua kuna ambbao wanaamini maneno matupu.
  8. gigabyte

    GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

    Wajinga ni wengi,reasoning yetu ni kidogo sana.
  9. gigabyte

    GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

    Aliyetoa tuhuma ndiye mwenye jukumu la kuthibitisha hayo madai.Ukipenda kusikia kile unachopenda kukisikia bila kutumia akili zako kutafakari kuna uwezekano mkubwa ukalishwa na kuamini jambo ambalo pia sio sahihi.Ukiwa na akili timamu huwezi kua binadamu wakuamini maongezi ya mtu bila prove...
  10. gigabyte

    Tungepenya jana ubingwa ungekuwa Wetu ila Siasa za vyama vya upinzani zimetufelisha!

    Miafrika ya kitanzania mingi ni mijinga.Chuki za kidini na ubaguzi unatusumbua sana.
  11. gigabyte

    Kitendo cha Sugu kumsafisha Polepole na Gwajima ni kuuza pambano

    Wana mihemko sana hawa jamaa.Alafu ndio wanawaza kuitoa ccm madarakani.Labda kwa ndoto.
  12. gigabyte

    Kitendo cha Sugu kumsafisha Polepole na Gwajima ni kuuza pambano

    Wafuasi wa chadema hii kauli mnaipendaga kuitumia pale ambapo mwana ccm anaongea mambo yakuisema ccm ila ikitokea mtu wa chama kingine cha upinzani kaunga mkono jambo lolote la ccm mnaibuka na kauli za kusema ni msaliti mara ccm b na ujinga mwingine mwingi.Kama siasa hazina adui wa kudumu basi...
  13. gigabyte

    GE2025 Upinzani wa Tanzania umepoteza golden opportunity dhidi ya CCM

    Ccm iliyojizatiti toka uhuru haiwezi kutoka madarakani kirais rahis kama unavyofikiria.Vyama vyote iwe chadema iwe nani hakuna hata kimoja chenye mipango madhubuti yakuitoa ccm madarakani zaidi yakufuraisha wanachama wao ili wasikie wanachokitaka.,labda uniambie kupambania ubunge ila sio nafasi...
Back
Top Bottom