Habari za muda huu wana JF Ningependa kushea nanyi kitu ambacho kitakua msaada kwa wote wanaojiandaa na usaili siku za ivi karibuni maana taratibu zimebadilika ili kuweza kuendana na matakwa ya PSRS nimeona huu uzi JF nikaona ni vyema niwasogezee wapambanaji ili muweze fika nchi ya ahadi ya...
Me pia nilipta katika icho kipindi ila sikukata tamaa ,Nilifanya sahili kadhaa
PCT - Fail
ORCI- Fail
MNH- Pass to Oral 24/09/2022
NAOT- Fail
Then Placement zikatoka z MNH sikuwepo miongoni mwa waliochanguliwa still niliendelea kuomba kazi endapo Tangazo lolote litatokea
2024-July ...
ukishafanya post husika,,Endapo PSRS watahitaji mtu mwenye Qualification kama zako unakua wakwanza kuwa considered kabla ya wao kuitisha usaili watu wengine wagombanie..kwa maana nyingine unakua umejiekea akiba ya baadae mda wowote unalamba asali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.