Inamilikiwa na Sumaria Group Tanzania Limited kwa 60% na CMG 40%. Sumaria ni Group of companies linalomilikiwa na Wahindi raia wa Uingereza, CMG ni kampuni ya Gachuma.
Siwezi kushangaa wana CCM wanapobadilika hata baada ya hapo awali kuonyesha wazi wazi kuwa wanataka serikali tatu. Haka ni kamfumo ambako kamo ndani ya chama hiki ingawa wengi wataona ni mageni haya kwao. Sishangai kuona hata wale ambao tuliwaamini kuwa ni wazalendo kwa Taifa hili nao leo...
Siwezi kushangaa wana CCM wanapobadilika hata baada ya hapo awali kuonyesha wazi wazi kuwa wanataka serikali tatu. Haka ni kamfumo ambako kamo ndani ya chama hiki ingawa wengi wataona ni mageni haya kwao. Sishangai kuona hata wale ambao tuliwaamini kuwa ni wazalendo kwa Taifa hili nao leo...
Kuna mtu kanipigia simu muda si mrefu anasema maeneo ya Shekilango jijini Dar kuna kitu kinachohisiwa kuwa ni bomu. Mwenye taarifa kamili atujuze kama upo eneo la tukio.
Nani kakwambia kuwa dhambi zako ulizozifanya ukiwa hai zinaondolewa kwa kuombewa ukifa? Ukiambiwa tubu leo mgeukie Mungu wako geuka, usijidanganye kuwa kuna watu wataomba ili upunguziwe adhabu ya moto na kiberiti.
Ina maana mkakati wa Wasira wa kuiua CHADEMA ndo umekwama tena. Duuh, sasa sijui kama ingetokea wanafanya uchaguzi mwingine angewaambia wamchague kuwa mjumbe wa mkutano mkuu ili afanye nini....!!!!:A S 103::A S 103::A S 103:
Ina maana mkakati wa Wasira wa kuiua CHADEMA ndo umekwama tena. Duuh, sasa sijui kama ingetokea wanafanya uchaguzi mwingine angewaambia wamchague kuwa mjumbe wa mkutano mkuu ili afanye nini....!!!!
Kama ndivyo ilivyo sheria naamini wengi sasa wakiwa na mashaka na wenzi wao, watakuwa wanatembea na visu kiunoni ili waue pasipokuhesabiwa makosa. Ukiona una mashaka nae mwambie aondoke tu kuliko kukonda kwa mawazo na kufikiria uue vipi ili usitiwe hatiani.
Tatizo watu hawamwabudu Mungu wanaabudu watu na miujiza yao. Hawajui kuwa hata shetani nae ana miujiza na hutumia udhaifu wao kuwaangamiza. Amelaaniwa amtegemea mwanadamu, na kumfanya mwanadamu kuwa kinga yake na moyoni mwake amemwacha Bwana. Acha wawaburuze kwa kuwa haja yenu ni kuona miujiza.
Nahisi sasa somo la demokrasia liumeanza kuingi NEC. Maana mtangulizi wa Jaji Lubuva alikuwa akishupaza shingo kuwa hii tume ni huru, na kama mnataka isiteuliwe na rais mnataka nani ateue!! Nahisi ameona sasa kile Watanzania, asasi za kiraia, vyama vya siasa walichokuwa wanataka kifanyike ili...
Kwa namna alivyomtendea Mwakyembe huyu jamaa naweza kuhuzunika hata akifa Fisi kuliko huyu. Kapotosha, kakanusha, na sasa anaona aibu, yaani aki... sijui nitakula nini siku hiyo.
Nyie tafuteni propaganda za kuwahadaa Watanzania pasipokujua kuwa hawahadaiki, badala ya kufikiria nini mfanye ili angalau mwe na cha kuongea kwa miaka 51 ya uhuru wa tanganyika chini ya lindi kubwa la ujinga na umasikini uliokithiri pamoja na huduma duni za afya zinazotolewa chini ya...
Nyie tafuteni propaganda za kuwahadaa watanzania pasipokujua kuwa hawahadaiki, badala ya kufikiria nini mfanye ili angalau mwe na cha kuongea kwa miaka 51 ya uhuru wa tanganyika chini ya lindi kubwa la ujinga na umasikini uliokithiri pamoja na huduma duni za afya zinazotolewa chini ya ufadhili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.