Ni mara ngapi vyama vya upinzani na wadau wengine wamekua wakitoa mapendekezo mazuri lakini hayakufanyiwa kazi na serikali?
Kama wangetaka kupata mapendekezo wangeyachukua kabla ya kufanya maamuzi ya kupandisha bei, ukishafanya maamuzi (mazuri au mabaya) kinachosubiriwa na matokeo (mazuri au...
Kaka Mkubwa umeonesha hekima kubwa sana kwanza kujizua na kunyamaza hata wakati ambao ungestahili kuonesha reaction yako, na ukumbuke hata wazazi ni wanadamu wanakosea, so kwa hekima na busara hizo hizo unaweza kuishi na mke wako na kuchukuliana na ndugu zako hao, usimwadhibu mwanamke wako kwa...
Kwa maelezo yako ndugu Mayalla, una maanisha Mkataba wa "The Zanzibar Treaty" ndo uliowapa Zanzibar haki ya Kumiliki eneo Tanganyika? Makubaliano ni ili walindwe na ndicho ambacho Tanganyika inafanya na si kumilikishwa eneo, kama ingalikuwa hivyo basi Zanzibar wangepaswa kuwa na eneo na Kenya...
Maswala kama haya ni nyeti na usiri ni kitu cha muhimu, wangeweza kutangaza hiyo safari ingekua na tension kubwa sana lakini wamejiandaa kiusalama na kujiridhisha kwamba wanaweza kuingia Ukraine bila dhara lolote, ndio maana imekua ghafla kwetu sisi lakini kijasusi ni mpango wa muda mrefu...
44mg44 ndugu naomba ufahamu kwamba kuna watu ambao huzaliwa wakiwa na maumbile tofauti japo ni wachache sana, kama ukifuatilia anatomia na fiziologia kuna kitu kina Dextrocardia na Situs Inverses, dextrocardia apex ya moyo huwa upande wa kulia na situs inversus wanakua na moyo umekaa upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.