Ni sahihi kupitisha nyaya za umeme juu ya nyumba bila ridhaa ya Mwenye Nyumba? Na Kama ikitokea nyaya zimepita kwenye uwanja wa mtu na baadae akataka kujenga nyumba sehemu hiyo atafanyaje?
Naomba ufafanuzi ili wote tuwe na uelewa wa pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewasha laptop yangu ikawaka vizuri, ila inaonesha rangi ya bluu kioo chote, nashindwa Cha kufanya. Tatizo ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kundi kubwa la wanafunzi wanaomaliza STD 7 na Form 4 na kushindwa kuendelea na masomo.
Veta kwao ni suluhisho, vinginevyo bangi na wizi mtaani vinazidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.