mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,667
- 3,455
Wakuu habari ya wakati huu, samahani nahitaji kumfanyia Application mdogo wangu katika ngazi ya Stashahada/Diploma kupitia NACTE nimekutana na maelekezo yanasema 10,000/= per Institution na sio per Institutions asa wasiwasi wangu ni kuwa ina maana kwa kila taasisi au chuo nitakachochagua nalipia 10,000/= it means kama nitachagua Vyuo vitatu itanilazimu nilipie 30,000= au inakuwaje hapo, maana natambua ilikuwa ni shilingi 10,000/= kwa taasisi au Vyuo vitano miaka michache nyuma!!!
Ombi langu Kama kuna mtu humu ameshafanya maombi au anaelewa utaratibu mzima anisaidie tafadhari natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu!!! nimeambatanisha na kipande Cha maelekezo hapo chini...
Ombi langu Kama kuna mtu humu ameshafanya maombi au anaelewa utaratibu mzima anisaidie tafadhari natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu!!! nimeambatanisha na kipande Cha maelekezo hapo chini...