Sound bar ni tecnology mpya kwamba ni maboresho kutoka kwenye home theatre kwa hapo nakushauri beba hiyo sound bar.
Pia Hometheater ina miwaya mingi sana hiko kitu kinanikera soon nachukua sound bar.
Last weekend ilikuwaa ijumaaa ileee nilikutana na katoto kamojaa ivii ka uswazi ila kasafi kazur tu nikachukua namba pale kila mtu akaendelea na safar zake
Muda kidog nikaa mtxt nikampa mualiko wa Outin muda huo huo tutoke maana ilikuwa ijumaa akachomoa kwamb ndo anarud nyumbani hawez toka mpka...
Kamaa bimaa ni ya mfanyakaz wa umma anayekatwa monthly kwenye mshahara bas ita cover mie nauguza bi mkubwa pale muhimbili anatumia dawa za cancer ni ghali mno ila anapata huduma japo kuna kibali kitatakiwa kukatwa kama garama za dawa na vipimo vitakuwa ghali sanaa
Polee sanaa mkuuu Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.