Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Hahaaambwa huyu, yeye mlinzi wa mnara anajifanya mfanyakazi wa halotel. hawezi kujibu maswali, amekimbia huyu nyau. halotel siwapendi mb zao zinakwisha kama upepo.
Hahaaambwa huyu, yeye mlinzi wa mnara anajifanya mfanyakazi wa halotel. hawezi kujibu maswali, amekimbia huyu nyau. halotel siwapendi mb zao zinakwisha kama upepo.
mkuu mi naona hii mitandao inategemea na mahali ulipo mimi nina line tatu yaan Tigo,vodacom na halotel.katika line zangu hizo yenye kasi zaidi ni (1) Tigo (2) Halotel (3)Vodacom .Kweli mkuu! Maana internet yao iko speed ile mbaya,na bando huwa halikai,line ya tigo nimeiweka banch,kwani hii ndo ipo slow sana kwenye internet hadi inaboa.
Wiki ya 2 sasa nilinunua vocha ya elfu 5 bahati mbaya wakati nakwangua nilifuta namba kama 2.
Nikipiga customer care 100 simu inaita tu haipokelewi na haipikelewi.
Mtuambie kama mmeshafunga ofisi zenu nihesabu maumivu.
Yaani nitoke.hapa nilipo kufatilia elfu 5.....hiyo namba ya huduma kwa wateja wameweka.ya niniNenda kwenye maduka Yao utapewa vocha nyingine
Hata huku dar mkuu hali ni hiyo hiyo nina gb nying tu ila naishia kuingia jf tu insta haifungui kituuHalotel huku Arusha mnaboa sana toka Asubuhi internet hovyo.
Mwendo wa kobe
Internet sio nzuri kbs jirekebisheni, halafu mtu anaponunua kifurushi Cha 10,000 muda wa maongezi msitoe halotel kwa halotel tu ni vizuri sana muweke mitandao yote sio kumbana mtu. Ni hayo tu.Kampuni ya Halotel Tanzania imeanza vema. Karibuni kwa maswali hoja kero ilituweze kujulishana kupashana hili na lile. Internet Complaint hapa utaelekezwa nini cha kufanya. Usisite kuuliza swali kero na admin watakusaidia.
Karibuni Sana
Ni kweli huku Moshi Internet slow kbs .Nilipokua moshi mjini pale stand mbona internet ilikua slow sana?? Au mmepiga deal tayari???
Na kuna tetesi kwamba ma injinia wenu mnawabana kweli kweli hamuwapi mishahara mizuri
Hata hapa Morogoro mjini, hamna mtandao wiki ya pili hii. Ikipatikana yaani Internet mwendo wa kobe. Hali sio shwari.