Washiriki 16 waliongia hatua ya 16 Bora Leo wanachuana katika hatua ya Mwisho kutambua Nani ataibuka na shillingi Milioni 30:
Azam TWO watakuwa live saa 3 Kamili Usiku
Hebu tubashiri kidogo; japo haibadili kura maana Zilishafungwa Jana saa 6 usiku
Wakatabah
GR
Unaweza kutazama live kupitia...
Task inayoendelea Sasa ni washiriki kuichukua sh.laki moja kwa mdomo.
Mazoezi na Akili vinahitahika; big up kwa task ya Leo
On AZAM TWO now
Wakatabah
Adios
Diva: nahisi Mti Mkubwa ingekuwa rahisi zaidi maana rahisi kutengeneza pahala salama pa kulala kuliko huu kama unavyosema ambao hata matawi yake ni dhaifu kwa kuwa pia ulihamishwa na kupandikizwa hapo kama sijasahau. Ila Kile KiOlive kilikuwa juu kabisa ya Matawi
Naliona Hili katika jicho hilo na hapa ndo wale waliompa Bajaj yule mhanga wa Scorpion wanaweza kuwekeza kwa Rasilimali hii ilioonyesha Utayari wa kuyakabili Maisha kwa kila namna.
Mkuu;
Milioni 30 Aisee maana Assignment ile katika hali ya kawaida si rahisi. Sikumbuki tukio hili lilitokea lini hivi karibuni zaidi ya lile la Miaka ya 80 ambalo liliigharimu kampuni ya Usafirishaji ya Born City baada ya kumshusha mama na Mtoto Serengeti na kulazimika kulala katika mti...
MAISHA Plus on Azam TWO: Mabinti 9 wakesha Mtini wakisaka 30M
Jana majira ya saa 3 usiku nikitazama mfululizo wa makala ya Maisha halisi kutoka Kijiji cha Maisha Plus kupitia Runinga ya Azam TWO nilijawa na mchanganyiko wa fikara kinzani huku roho ya imani na ghadhabu vikikinzana kwa wakati...
MTAZAMO Suala lipe muda Sina muda wa Porojo. Ndo maana nimekaa pembeni kusoma mihemko ya wanaFB waliotukimbiza humu. Hili nimelipenda kuweka in put yangu. Lipe muda utajua Porojo au Facts
Kontena Saga: Meneja wa ICD Afunguka Mazito
GR na mtandao wake wote tutakuwepo hapa kwa Ukaribu wa majuma mawaili matatu hivi tukimulika sakata hili kwa umakini mkubwa na kusaka zilizofichika hadi mwisho wake kama ilivyo ada:
Kulikoni?
Siku chache baada ya kutiwa chini ya Mikono ya Sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.