Recent content by Ghani4358

  1. G

    JamiiForums Tanzania Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

    We are not the intelligent generation, angalia pyramids ndo ujue sisi ni bado Sana, we are not the happiest either, Kuna generation bora Sana zimepita kwenye uso huu wa Dunia na hawajaenda popote, we are just the comfortable generation na hapo ndo tutaishia. They have money to spend waache...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

    Wewe ndo uko brainwashed Sasa. Hizo movie, we know only 5% kuhusu Universe ndomana wanakuambia part kubwa ni Dark Matter sababu hawajui kitu, kwenye bahari tunajua 1% tu, sisi ni wa hapa hapa hizo kelele tu.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Hizi ndo shule 100 Kongwe na zilizotikisa Tanzania, na asilimia 90 humu tumepitia katika shule hizi

    Umbwe O level Tarime A level Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. G

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Tumshukuru Mungu kizazi cha sasa hakikuwepo wakati baba/babu zetu wanatafuta Uhuru

    Shule nzuri 80% za serikali zilijengwa na wakoloni,walileta miundombinu na vingine vingi kwanini waliondolewa?
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kuna Uwezekano CHADEMA Inaelekea Kwishney? Zitto amebadili Online Trend...

    Kama kweli unafikiria sawasawa niambie kabla Lissu hajapigwa risasi na kuwa out of politics kwa mwaka,who was trending btn him and Zitto? Ni muda tu mzee,this is his time,na yeye akinyamazishwa atakuja mwingine.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Lissu yuko frustrated tumuache apone kwanza

    Kama Lissu ni mgonjwa na anaandika points namna ile na wewe mzima unaandika upupu namna hii,unazidiwa hata na Lissu mgonjwa my friend.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Muujiza mkubwa watokea leo: Mdogo wa rafiki yangu amefufuka

    Hakufa huyo,alizimia tuu,kuna mchezaji alikaa 72 hours mapigo ya moyo hayapigi na akapona. Sent from my iPhone using JamiiForums
  8. G

    JamiiForums Tanzania Mtume Muhammad: Ndege ni wanajeshi wazuri katika vita na ongeeni nao tu

    Unaoneakana unamjua sana Mungu mpaka limit ya uwezo wake unaijua.Unahisi ni kitu gani Mungu hawezi kufanya?Kumpa Suleiman uwezo wa kuongea na kuamrisha wanyama ndo hawezi?au kuna kingine? Sent from my iPhone using JamiiForums
  9. G

    JamiiForums Tanzania Mbunge Musukuma anasumbuliwa na Inferiority Complex? Kwanini anang'ang'ania sana u la saba wake?

    Chama sio nchi,unaijua katiba ya chadema inasemaje?acha kujazwa maneno na wachumia tumbo. Sent from my iPhone using JamiiForums
  10. G

    JamiiForums Tanzania Don Williams V/S Kenny Rogers

    Nadhani sio lazima wakati wote tuwe na mshindi mmoja,leo naomba niseme kwenye country kuna washindi wawili nimeshindwa kuchagua asee.
  11. G

    JamiiForums Tanzania CCM chama bora cha siasa duniani

    Kumbe wewe ndo umekitaja na hizi ni points zako ndomana umesahau nyingine,basi CCM wenzio watakusaidia.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Sijaona popote pale wanajeshi wa Rwanda wakilinda Ikulu ya Tanzania wala Ukuta wa Mererani

    Hoja yako ina mashiko na inaweza kuwa 100%true,ila umekosea kutolea mfano Uganda,sio nchi ya kidemokrasia,Museveni ni dikteta hata kama ni Baba yako.Mtu akiwa dikteta anakuwa hana imani na watu wa karibu yake ndomana anabadilisha kila mara,na bila kufuata utaratibu,je angeachia nchi wakati wake...
  13. G

    JamiiForums Tanzania Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Naelewa maana ya contradiction mzee ndomana nakuambia wewe ndo bado hujaelewa vema ndomana unaona kuna contradiction but every detail about Allah is plain to those who understand. Mungu amekupa Utashi wote kama binadamu,ni kazi yako kuutumia kwa jinsi utakavyo either in a good way au in a bad...
  14. G

    JamiiForums Tanzania Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Kwa sasa contradiction imebaki kwenye akili yako tu ndomana huna hoja ya kutetea uwepo wako. Kazi imebaki kwako wewe kuiondoa ukishindwa basi bro,maybe you not as lucky as we are.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Utashi wako ni mdogo Kiranga we mbishi usiefikiria na comments naona huzielewi unataka kushinda. Mi ninathibisha Mungu yupo kwa kukuumba wewe ambae hujui umefikaje hapa duniani. Kama huamini niambie chanzo cha binadamu pamoja na ulimwengu ni nini?
Back
Top Bottom