JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Wewe ni muoga tu wa kifo. Sijaona hoja yako.Watu mnajua sana kuliwazana,sasa ni hivi,Binadamu afanye atakachokifanya ila atambue tu "KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI",Hzo mission za sijui kuishi milele au sijui kupunguza watu mara kwenda kuishi angani,aisee hzo ni juhudi tu za binadamu kuukwepa ukweli halisi kwamba ipo siku atakata kauli atafukiwa chini ya udongo na baada ya muda atasahaulika kbs kama alikuwepo.
Mtoa mada wewe endelea kutazama movie sana maana unaonekana upo addicted sn na finctions ila tambua tu huyo aliyetuleta kupitia shahawa na yai la mama anasema Hakuna kinachopumua kikabaki hapa duniani,Kila kilichoumbwa kitakufa na kwake tutarejea ili tuambiwe yote tuliyokuwa tukiyafanya.Kuishi milele duniani au mars haipo kwenye mpango wa Muumbaji.
Haya maendeleo ya technology yapo na hatukatai ila ile kanuni ya binadamu kuonja umauti iko pale pale mkuu wala usijiliwaze kupitia akina Elon msk na hzo movie zako,ziko mission mzungu atafanikiwa ila kuna mission zitabaki hivyohivyo kuwa mission hazitafanikiwa kabisa ikiwemo hiyo ishu ya kuishi milele duniani au ktk sayar yyte hapa ulimwenguni.Hzo ni juhudi tu za kibinadamu kwamba anataka afikie pale au iwe vile,Kufa ni lazima mzee wewe mwenyewe hapo huna hata uhakika wa kuwepo dakika 30 zijazo