gm man
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,177
- 1,456
2. Demokrasia iliyotukuka
kwa kuwapiga na kuuwa wapinzani katika uchaguzi mdogo wa siha na kinondoni..nakumbuka tulimpoteza akwilina
3. Kuwa Karibu sana na Wananchi hasa Maskini.
hakika kwa kuwaambia ndugu zetu wa BUKOBA KUWA SERIKALI HAINA SHAMBA..na kuwaambia kuwa wanapenda sana KATERERO
4. Sera imara zenye kutetea Wanyonge
kwa kuwabomolea ndugu zetu wa kimara huku kukiwa na stop order ya mahakama
7. Kusimamia Amani, Umoja na Mshikamano Ipsavyo.
amani ya kuokota miili ya watu kwenye sandarusi pamoja na vifo kama vya kina sogota..usisahau kutekwa kwa watu kama roma na beni saanane na shambulio la tundu lisu
Asante sana sisiemu
kwa kuwapiga na kuuwa wapinzani katika uchaguzi mdogo wa siha na kinondoni..nakumbuka tulimpoteza akwilina
3. Kuwa Karibu sana na Wananchi hasa Maskini.
hakika kwa kuwaambia ndugu zetu wa BUKOBA KUWA SERIKALI HAINA SHAMBA..na kuwaambia kuwa wanapenda sana KATERERO
4. Sera imara zenye kutetea Wanyonge
kwa kuwabomolea ndugu zetu wa kimara huku kukiwa na stop order ya mahakama
7. Kusimamia Amani, Umoja na Mshikamano Ipsavyo.
amani ya kuokota miili ya watu kwenye sandarusi pamoja na vifo kama vya kina sogota..usisahau kutekwa kwa watu kama roma na beni saanane na shambulio la tundu lisu
Asante sana sisiemu