Sasa ninaamini kile alichokisema Confucius (551-478)BC Mwanafalsafa wa uchina kuwa "Kwa nchi inayoongozwa vizuri umaskini ni kitu cha aibu na kwa nchi inayoongozwa vibaya utajiri ni kitu cha aibu pia".Rasilimali na fursa pekee hazitoshi bali ni uongozi bora na wenye fikra hai!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.