Recent content by getrude kilonzi

  1. G

    Anadai hakunipenda.

    Shukuru Mungu kakupa ukweli mapema mpende akupendaye asiyekupenda tupa Kyle wasichana wako wengi na wanahitaji kupendwa
  2. G

    Mke wangu kakutana na EX wake tukiwa pamoja, kafurahi hakuna mfano!

    Achana na yaliyopota she z your wife nao achana na umbea huyo bnt anskutaka so anataka mgombane
  3. G

    Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

    Mi naona kikubwa ni kuvumiliana na kumkubali mwenzako kwa hali yoyote ile mi Nina MTU wangu nimeanza naye form two na mpaka nikamaliza chuo na Mungu ametujalia tuna mtoto mmoja ila kila ninapo mwambia tufunge ndoa anajibu hajajipanga je Nina anaweza kua mvumilivu na hapo tumepita milima na...
  4. G

    Do you know of a subject harder than Mathematics?

    Wee kiswahili ni kigumu kuliko masomo yote
  5. G

    Hivi ni kweli mke au mume siyo ndugu yako?

    Mchungaji husema mmekua mwili mmoja sio ndugu was moja get the point
  6. G

    Rais; Piga marufuku wadada kutupiga mizinga, Hapa kazi tu

    Kwani lazima kama hauna achana huko
  7. G

    Unatongoza vipi mwanamke aliyekuzidi kwa kila kitu?

    Mmmmmh watu humu mnavituko yarabi mbavu zangu
  8. G

    Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

    We nikizibo ndio ukome hakuna kaz bila malipo
  9. G

    Nataka kupita Mikumi mbugani na baiskel kuelekea Iringa

    Uache wosia ndio uanze safar RIP
  10. G

    Mke raha jamani

    Umepata wife material
Back
Top Bottom