Mi naona kikubwa ni kuvumiliana na kumkubali mwenzako kwa hali yoyote ile mi Nina MTU wangu nimeanza naye form two na mpaka nikamaliza chuo na Mungu ametujalia tuna mtoto mmoja ila kila ninapo mwambia tufunge ndoa anajibu hajajipanga je Nina anaweza kua mvumilivu na hapo tumepita milima na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.