Mke raha jamani

Mke raha jamani

Bado bado.. Katika hatua za Ndoa hapo ndio mpo katika mwisho Wa hatua ya kwanza.. Hatua ambayo mnakua na Mapenzi ya Motoooo.. Hilo Ni tera, Picha Linafata Hatua ya Pili... Utajutaaaa

Teh..., episode ya 2 inaanza baada ya miaka 10 ya ndoa!

Episode 1 - maisha ya ndoa matamu kama asali.
Episode 2 - ladha ya ndoa ni kama limao
Episode 3 - ladha ya ndoa ni kama pilipili!
 
mh bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi..we shukuru Mungu songa mbele mwombe akuepushe mabaya,usijiamini wewe kama wewe
 
neno samahani huwa nalipenda sana , yaani nkishaambiwa nisamehe mke/mpenzi/mamawatoto/ mpenzi wangu yaani kama sio danger days naishia kumpa game kama ishara yakudhibitisha nmemsamehe
Kuna watu wana bahati maishani.
 
Napenda kuwaasa wale ambao hamjaoa muoe muone jinsi maisha ya ndani ya ndoa yalivyo matamu manaishi kama watoto wadogo vile hahahahahah.

Mpaka muda mwingine najikuta nacheka na mapenzi kwa mke wangu ndo kwanza wanaongezeaka daily.

Tunagombana mke ananua kitandani mnabembelezana mambo yanaenda dah!

Unakasirika unaombwa msamaha mambo yanaenda kama kawaida.

Nakanusha ule usemi wa ndoa ndoano.

kuna member humu kazi yao kumendea wake za watu sasa we jisifie tu na wao watataka kuja kuona hizo raha unazozisifia I swear utarud na post ya maumivu soon
 
MWAKA WA SABA HUU WEWE NIMEPATA MKE SIO DUNGAEMBE MORE THAN 7YEARS HIYO KABLA HATUJAOWANA . Na UKIWA NA NEGATIVE MAWAZO LAZIMA YAKUKUTE KWELI

Cha msingi mzidi kumwomba Mungu muishi hivyo.Watu wameishi miaka 30 ya ndoa ila mwaka wa 31 mtafaruko unatokea.Cha msingi katika ndoa ni kuvumiliana tu kwa kile Mungu atachokujalia.
 
Time will tell

Hujambo? Long time no see.

Usimtishe bwana, ndoa ni ya wawili ujue, hatukatai kuna ups n downs bt still its a good thing, tatizo wengi pia huangukia mikononi mwa machaguo ya wenzao so lazima pawe na shida tu!
 
acha kabisa hyo kijineno ina raha sana sometimes hata mtu anakuambia samahan hamaanishi lakini unajikuta umeanza kulegeza mnunoo,

kuna ile mtu anakusogelea hata kama umenunaje anakushika mkono anakutizama kidogo kama dakika moja then akuita jina lako, mke wangu, mpenzi n.k then anasema nisamehe/ naomba unisamehe najutia hili kosa sikustahili kukufanyia hivi najisikia moyo unajuta, tehtehteh akiona unazingua bado anakukumbatia closeeee anaongezea nisamehe please naahidi kujirekebisha aaaahhh weee utaishia tu alafu mi thipeendi unaniuzigi kama nini kwanini ulifanya hivyo niache huko wakati ushajichekesha tehtehteh( siri hyo nmewapa)


Tabia mbaya.
 
Ivi hujajua kwann wengine wakiwa kazini ukifika mda wa kwenye nyumbani wananuna hatariii na wanaamua kuweka kambi bar?
 
Bado bado.. Katika hatua za Ndoa hapo ndio mpo katika mwisho Wa hatua ya kwanza.. Hatua ambayo mnakua na Mapenzi ya Motoooo.. Hilo Ni tera, Picha Linafata Hatua ya Pili... Utajutaaaa

Nina 14 years ndani ya ndoa and it has been so SWEET....Najua vijana wengi wanapokosea ni kwenye mchakato wa kupata huyo mke. Kwa mjibu wa Biblia Procedure ya kuoa/kuolewa ni hivi:

1. Mtu atampenda Mke....Utampenda huyo unayemtarajia.

2. Atawaach wazazi... Utapata kibali toka kwa wazazi wa huyo mtarajiwa, ikiwa ni pamoja na kukamilisha taratibu za kijamii Mf Mahari, Sherehe, etc

3. Ataambatana na Mkewe.... Utaanza naye indepenednt life (Kama mme & Mke)

4. Watakuwa Mwili mmoja.....Utajamiiana naye for all biological purposes (Enjoyment..., Reproduction..., & Other physiological needs).

Vijana wengi leo wanafanya kinyume na utaratibu wa MUNGU hapo juu. Wanaanza na namber 4, 3, 2, 1... Matokeo yake ndo hayo.... Ndoa ndoana.

Mie aaaaahhh na mke wangu, tulifanya ndoa simple kijijini, tukaja hapa twn (DSM), tukawa wapole. Mungu bado ameshikilia. Tunazidi kumwomba Atupe miaka mingine 14....

:majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:
 
Bado haujafafanua vizuri
Raha ya kucheka unaipata hata ukiwa mwenyewe.
 
Hujambo? Long time no see.

Usimtishe bwana, ndoa ni ya wawili ujue, hatukatai kuna ups n downs bt still its a good thing, tatizo wengi pia huangukia mikononi mwa machaguo ya wenzao so lazima pawe na shida tu!

Ww mbaya sana hata kunitafuta unijulie hali?nimeamini haunipendi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom