Wadau kuna watu wanajitangaza kwenye mitandao ya kuwa wanaweza kukuunga bando la 30gb na dk kibao kwenye mitandao ya voda, halotel n.k kwa sh 10,000 au 15,000. Jamani hawa watu ni wakweli au ni matapeli? Naomba ushauri wenu
Wadau naomba kuuliza kwa wale ambao wamewahi kukopa Fanikiwa Microfinance,
Afisa Mikopo wao kaja kunitembelea na kunishawishi kukopa kwao. Akanieleza kuwa ukikopa mfano milioni 5 kwa miaka miwili unaweza ukakatwa 393,250 kwa mwezi. Lakini kama nitaweza kurudisha mkopo baada ya miezi sita kabla...
Ndugu yangu, masuala ya kupeleka barua kwa mkono hayapo lengo ni kuepuka rushwa ya kujuana. Wewe apply kama wengine then, kwa kuzingatia your qualifications na uzoefu utaitwa kwenye interview.
One of the tourists and classic hotel which is at the city centre of Dar es Salaam invites qualified personnel to fill vacant posts as shows bellow.
I: Junior positions
1. Receptionists
2. Room attendants
3. Waiters
4. Cooks
5. Storekeeper
6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.