Wadau naomba kuuliza kwa wale ambao wamewahi kukopa Fanikiwa Microfinance,
Afisa Mikopo wao kaja kunitembelea na kunishawishi kukopa kwao. Akanieleza kuwa ukikopa mfano milioni 5 kwa miaka miwili unaweza ukakatwa 393,250 kwa mwezi. Lakini kama nitaweza kurudisha mkopo baada ya miezi sita kabla ya muda wenyewe wa mkopo ina maana nitatakiwa kurejesha (393,250 X 6) Jumlisha (5,000,000 - (393,250x6)). Yaani utalipa ile ile amount ya milioni tano hivyo utaepuka ile riba uliyotakiwa kulipa ndani ya miaka 2.
Je hii ni kweli au kauli za kushawishi tu?
Afisa Mikopo wao kaja kunitembelea na kunishawishi kukopa kwao. Akanieleza kuwa ukikopa mfano milioni 5 kwa miaka miwili unaweza ukakatwa 393,250 kwa mwezi. Lakini kama nitaweza kurudisha mkopo baada ya miezi sita kabla ya muda wenyewe wa mkopo ina maana nitatakiwa kurejesha (393,250 X 6) Jumlisha (5,000,000 - (393,250x6)). Yaani utalipa ile ile amount ya milioni tano hivyo utaepuka ile riba uliyotakiwa kulipa ndani ya miaka 2.
Je hii ni kweli au kauli za kushawishi tu?