Recent content by gery360

  1. gery360

    Nataka kununua Gari aina ya IST

    Pia mkuu kwanini ume recommend rangi ya silver na nyeupe pekee ??
  2. gery360

    Toyota Mark X 2007 na Crown 👑 Athlete 2007 ipi yenye better fuel efficiency

    Kama engine zipo sawa basi hata ulaji wa mafuta utafanana tu, utofauti sasa utakuja kwenye factor zingine
  3. gery360

    Car4Sale Chaser GX100 for sale

    [emoji28][emoji28]
  4. gery360

    Hivi upi ni ukweli kuhusu ndege(planes) kutokupita bahari ya Pacific?

    Sio kwamba ndege hazitumii kabisa hiyo route hapana Bali zinatumiaa isipokuwa route hiyo mara nyingi commercial airlines ndo huwa wakwepa kwa sababu kama hizo ulotaja kwenye kundi B
  5. gery360

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duuuh Sent using Jamii Forums mobile app
  6. gery360

    Ni wakati gani uliwahi kuwa na furaha zaidi na hutoisahau?

    Siku ya kwanza kurusha ndege peke yangu bila kuwa na mwalimu
  7. gery360

    Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

    Ni kweli kabisa unachosema mkuu, nimeishi Zanzibar mda mrefu sana ila hakuna wakati nilokua nauchukia kama huo. Yaani unageuka kuishi kama panya
  8. gery360

    Jinsi ya kumjua mwanamke aliyetoa mimba

    Nendeni hospital Sent using Jamii Forums mobile app
  9. gery360

    The devil’s bible (the codex gigas)

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom