gery360
Member
- Sep 16, 2016
- 77
- 100
Pia mkuu kwanini ume recommend rangi ya silver na nyeupe pekee ??1. Hongera.
2. Chaguo zuri sana.
3. Agiza nje. Faida zake ni nyingi.
4. IST mwaka wowote nzuri ila make sure ni 1.3L FWD achana na 1.5L AWD
5. SBT au Beforward
Kuongezea:
6. Tafuta silver au nyeupe.
7. Anzia kuangalia ushuru kwanza ujue mwaka gani (2002 hadi 2007) una ushuru mdogo ndio huo mwaka katafute online.
8. Usiishie kutafuta tu cheapest online, angalia na hali ya gari (kwa kukagua Auction Sheet na Condition Report, kama hawana izo achana nalo ilo).