Swala la barabara ya Serengeti ni 'trans boundary' na kwa hali hiyo negative impacts zake zitaathiri pia uchumi wa Kenya.Wabongo tuache kuwa wavivu wa kusoma, kufikiri na kuwasikiliza wataalam na kuamua vitu kisiasa. Utatugharimu punde.Tukubali tusikubali Wakenya wako mbele yetu kwa hatua kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.