Tanzania loses battle over Serengeti road project

Sijui nani katuloga watanzania manina!!!. Hata hili nalo. Hivi ni kitu gani kinatubakiza EAC mpaka sasa. Nchi kubwa zaidi ya kuziunganisha zote Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi hazifikii Tanzania. Mimi kwa kweli uchaguzi ujao chama chochote kitakachoahidi kujitoa EAC mimi nitakipigia kura. Hata kama kitashindwa nitajua nilipiga kura ya maana. Viongozi amkeni vizazi vijavyao vitayachapa viboko makaburi yenu kwa hasira haki ya nani
 
Sijui nani katuloga watanzania manina!!!. Hata hili nalo. Hivi ni kitu gani kinatubakiza EAC mpaka sasa. Nchi kubwa zaidi ya kuziunganisha zote Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi hazifikii Tanzania. Mimi kwa kweli uchaguzi ujao chama chochote kitakachoahidi kujitoa EAC mimi nitakipigia kura. Hata kama kitashindwa nitajua nilipiga kura ya maana. Viongozi amkeni vizazi vijavyao vitayachapa viboko makaburi yenu kwa hasira haki ya nani
mkuu sijui kama umeweza soma posts nyingine humu ndani na kutafakari. Tanzania siyo sehemu ya ardhi ambayo iko nje ya dunia hii,lazima tushirikiane na majirani zetu na dunia nzima,tukitanguliza maslahi yetu ya sasa na vizazi vijavyo. Ndiyo maana nikauliza hivi ni kweli hiyo barabara ilikua ijengwe kwa maslahi yetu ama kwa maslahi ya kibiashara ya baadhi ya watawala wetu? Tafakari kabla ya kupost!
 
Pamoja na kwamba binafsi siungi mkono ujenzi wa hiyo barabara napenda kusema na kusisitiza kuwa hili ni swala la sisi wa Tanzania kujadili na kufikia muafaka. Wakenya wanahusika vipi na barabra tunayojenga sisi ndani ya nchi yetu? Basi na NGO ya Tanzania ifungue kesi mahakama ya Afrika Mashariki kupinga ujenzi wa Lamu Port. Nilikwisha andika humu jamvini kuwa hawa Wa Kenya si rafiki zetu na hatuna uhusiano mzuri nao. Tujenge uhusiano na nchi za kusini kwetu ambao tunaheshimiana sana.
Nawakilisha.

shida watz hatupendi challenges hata hizo nchi za kusini zikituchallenge tutawachukia tuseme ni maadui zetu baada ya hapo naona tutaenda west africa
 
Na wako mbion kumalizia ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa mpaka mwa tarakea ambao unaua uwanja wa ndege wa kia
 
Swala la barabara ya Serengeti ni 'trans boundary' na kwa hali hiyo negative impacts zake zitaathiri pia uchumi wa Kenya.Wabongo tuache kuwa wavivu wa kusoma, kufikiri na kuwasikiliza wataalam na kuamua vitu kisiasa. Utatugharimu punde.Tukubali tusikubali Wakenya wako mbele yetu kwa hatua kadhaa hasa kwenye maswala ya Utalii. Tuamke!
 
SERIKALI ya Tanzania imebwagwa katika rufaa yake iliyokata dhidi ya uamuzi wa mahakama ya Afrika Mashariki ya kuzuia ujenzi wa barabara ya Musoma-Serengeti-Arusha baada ya kitengo cha Rufaa cha Mahakama hiyo jana kuamua kuwa uamuzi huo ulikuwa sahihi.Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Tanzania ilipinga hati hiyo kwa madai kuwa mahakama haikuwa na mamlaka ya kufanya hivyo kisheria.Kupitia kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Gabriel Malata serikali ya Tanzania ilidai mbele ya jopo la majaji watatu wa mahakama hiyo wakiongozwa na Rais wao, Jaji Harold Nsekela, Jaji James OgoolaMaombi hayo ya Tanzania yalipingwa na wakili Saitabao Kanchory Mbalelo anayewakilisha walalamikaji aliyedai mahakama hiyo ina uwezo na mamlaka ya kutoa hati ya kuzuia utekelezaji wa mradi huo na kuomba mahakama kutupilia mbali rufaa hiyo.


Let's put the record straight, kilichoamuliwa na kitengo cha rufaa cha mahakama hiyo alhamisi ni kutupwa kwa rufaa iliyokatwa na Mwanasheria mkuu wa serikali kutupa pingamizi lililowekwa na serikali ya Tanzania kuwa
Mahakama ya Afrika Mashariki Hainan mamlaka ya kusikiliza suala Hilo. Kesi ya msingi bado ipo na se
 
wanajamvi mimi napenda tu kuu liza?kwanini kila swala linalo husu tanzania lazima kenya waingilie??
jamani haya ni mabo yetu ya ndani na inapaswa tujadili na kamua wenyewe bila kuingiliwa,mbona sisi hatujishuhulishi na mambo yao? na ifahamike wao wanatuharibia alafu wakirdi kwao wanafanya na sisi tunaendelea kutoa macho tu,
kwahiyo hatawakituambia msitenge bajet ya kilimo kwasababu historia inaonyesha hatujafanya vyema kwenye sekta hiyo na sisi tuseme sawa??jamani haya ni mambo yetu ya ndani tunaomba mtuachieee
 
kama wanaingilia mambo yetu na wanatushinda ni kwa sababu ya upumbavu wetu'kwani sisi hatuna wataalam wa sheria wa kupambana nao?nchi hii wote tuko sawa msomi na asiye msomi

Director, hili ni tatizo la watanzania wote. Usi single wanasheria tu!!! Tusiangalia tulipojikwaa tuangalie tulipoanguka.

Maraisi Ndio waliokuja na wazo hili, wanasiasa wakashabikia sana, wafanyabiashara wakaona hii Ndio nafasi ya kupanuka kibiashara, professionals wakaona opportunities na openings za kazi, ni mkulima tu ambaye alikuwa hajui Nini .

Wenzetu waliingia wakiwa na malengo ya kitaifa zaidi sisi duh, tunabakia kulaumiana.

Tukae chini na kujiuliza what next?
 
Acha tuwasaidieni kufikiri nyie viumbe wa kusini mwa nchi yetu.
You have never been good at what you do.
Mulichimba madini na sasa munakaribia kuyamaliza bila ya nchi kufaidika, muekata magogo na uya export hamjali vizazi vijavyo, hamzingatii wala kujishughulisha na chochote tufanyacho nchini kwetu, mtajuaje hatari inayowajia.
Kila mtu kwenu ni politician hakuna professionals wa other field munapenda without reasoning kwa sababu ya kukata tamaa.
Wacha tuwasaidie kufikiri, but we know kile tunapata in return, tutaingia popote kulinda maslah ya wakenya, ninyi endeleeni kupiga politiki.

Ati? Wewe ni Mkenya wa Namanga, Sirari au Nyanza? Umesema kweli tupu, foward ujumbe huu kwa watz wote waishio Nairobi na Kericho.
 
Nawambia hivi lowassa akishika hii nchi michezo ya kidali poo tunayochezewa na wakenya itakuwa mwisho . Hata wao wanajua kabisa .
 
Mimi ni mtanzania wa kuzaliwa, nimesoma hii post na mtizamo wangu, naona walio amua siyo wakenya ni mahakama ya africa mashariki baada ya kusikiliza pande zote 2, na maamuzi ya mahakama ni sahihi coz cost ya ku~repay disturbed nature ni kubwa na ya muda mrefu, tupunguze kulalamika wa tz wenzangu....
 
iyo barabara cyo wakenya wenyewe hawakuikubali hata wana mazingira wa tz na dunia kwa ujumla pia hawakuitaka.

Unatwambia mazingira wakati tunajenga ndani ya mto Msimbazi? Njoo Mwanza mjini uone kilimo cha mboga pembeni mwa ziwa Victoria kilivyoshamili,watu wananyunyizia dawa za kuulia wadudu,mbolea za viwandani, watu wa mazingira wapo wanaangalia tu kwanini tusisaidiwe na wakenya.
 
Nawambia hivi lowassa akishika hii nchi michezo ya kidali poo tunayochezewa na wakenya itakuwa mwisho . Hata wao wanajua kabisa .

huyo unaè mtaja siji nani ndio hafai kabisa maana kunakasfa nyingine ina mhusu yeye na uhuru kenyata tukimpa hi nchi sindio wataziana kabisa?!
 
shida watz hatupendi challenges hata hizo nchi za kusini zikituchallenge tutawachukia tuseme ni maadui zetu baada ya hapo naona tutaenda west africa

SPEAK FOR YOURSELF BiBI.COM. Labda wewe ndiyo hupendi challenges. Tatizo hapa kama alivyosema msemaji moja ni Kenya kutaka kuingilia kila linalohusu Tanzania. Na hii inatokana na hofu ya Kenya kuwa kutokana na utajiri uliopo TZ huku tuendako Tanzania itachukua u-kinara katika eneo hili la Afrika Mashariki.
 
Unatwambia mazingira wakati tunajenga ndani ya mto Msimbazi? Njoo Mwanza mjini uone kilimo cha mboga pembeni mwa ziwa Victoria kilivyoshamili,watu wananyunyizia dawa za kuulia wadudu,mbolea za viwandani, watu wa mazingira wapo wanaangalia tu kwanini tusisaidiwe na wakenya.

Tatizo letu tulipouwa ukabila, tuliuwa na utaifa, nchi hii kila mtu mbinafsi! Kila mtu anajali tumbo lake, wakenya wana ukabila, lakini when it comes to the national interest wako wamoja! Huwezi kwenda Kenya ukajichukulia madini wanakuangalia, supermarket za kenya zimejaa bidhaa za kenya, ss mpaka apple inatoka South Africa, viongozi wako hawajali mradi wameshiba na kuvimbiwa!
 
Back
Top Bottom