ukitaka kutoa takataka juu ya ngozi yako unafanyaje? unaoga kwa kutumia maji. ukitaka kuondoa uchafu kwenye nguo zako unatumia nini? utafuwa kwa kutumia maji. ukitaka kusafisha sakafu nyumba yako unafanyaje? utadeki ukitumia maji. MAJI pekee ndiyo dawa bora ya kuondoa sumu mwilini bora kuliko kitu kingine chochote duniani, watu kadhaa tayari wamekuambia utumie maji. unajuwa namna ya kunywa maji? bonyeza: Utangulizi | maajabu ya majihabari jf members
nimekutana na daktari wa tiba za asilia mfano; dr. Ndodi, dr. Kibona etc, katika broshua zao mbali na kutibu magonjwa mengine wanasema wanadawa ya kuondoa sumu mwilini. Jamani madaktari je kuna dawa inayosaidia kutoa sumu mwilini?? Dawa za kisasa au asilia?? Tujuzane jamani
ahsante in advance
habari jf members
nimekutana na daktari wa tiba za asilia mfano; dr. Ndodi, dr. Kibona etc, katika broshua zao mbali na kutibu magonjwa mengine wanasema wanadawa ya kuondoa sumu mwilini. Jamani madaktari je kuna dawa inayosaidia kutoa sumu mwilini?? Dawa za kisasa au asilia?? Tujuzane jamani
ahsante in advance
Kwa hakika hao ni matapeli.
Haya soma hapa
(1) Tumia sana juisi ya rozella
(2) Tumia sana asali
(3) Tumia sana mdalasini
(4) Tumia sana kitunguu saumu kilichosangwa.
Nawasilisha.