Changia CHADEMA Kupitia No 15710, Kuwa Sehemu ya Ukombozi

Nataka kuwakumbusha hao wanaouponda huu mkakati kwamba baada ya cdm kuja nao hapa nchini kutoka Marekani ambapo walikuwa wamealikwa kwenye mkutano wa Democratic Part, ccm nao wakauchukua na kuutumia kipindi cha kampeni.
Nadhan ni vizuri na niwakati mwafaka wa wao kuuliza zilipatikana kiasi gani na zilitumikaje kabla ya kuanza kuulizia hizi ambazo ndio kwanza zinaanza kuombwa!
Tatizo ni kwamba wanakurupuka tu bila kujua huku historia inawaumbua! Poleni sana
 
NO. Nimebadilika sasa
Hawa CHADEMA majuzi Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kadai mpaka sasa hawajawasilisha kwake,
audited accounts za project ya uchaguzi wa mwaka jana.

Nakumbuka kwamba kuelekea kwenye mchakato wa uchaguzi mkuu mwaka jana, walianzisha
fund collection campeign ya namna hii.

Nimekuwa nikichangia kwenye mtandao huu, lakini sasa ninataka kuona hesabu zao zikiwekwa
wazi, kama hawawezi kuziweka wazi kwenye public (nasijui ni kwanini washindwe wakati wanakusanya
michango kutoka kwetu) basi at least wazipeleke hesabu zao kwa mkaguzi wa serikali haraka, hasa
hesabu za uchaguzi mkuu wa mwaka jana.

Siko tayari kuchangia mpaka haya yakamilike
 
NAUNGA MKONO HOKA!!!! MSWADA UMEPITA. huyo jamaa naona katumwa na CHAMA CHA MAJAMBAZI....
 
Nimefurahi kwamba kwenye website ya chadema kuna namba 15710 unaweza kuchangia pesa moja kwa moja na unashiriki katika ukombozi. Kama ni mteja wa tigo, voda au airtel tuma neno chadema kwenda no 15710 na utakuwa umechangia sh 350. Hawajataja tigo kweye web ila ukituma inakubali.

Nawakumbusha tena chadema, tupo wengi wakereketwa wa mageuzi tumechoshwa na ccm. Anzisheni harambee maalum kwa njia ya simu ili tuweze kuchangia unzishwaji wa TV, Radio na Gazeti la chadema. Mkitangaza vizuri kwenye magazeti, mikutano ya hadhara, TV , Radio na mitandao ya kijamii kama hii mtaweza kupata bilions na tutakuwa na vyombo vyetu vya habari. Mkianzisha tu siku ya kwanza nitatoa 100,000 na wengine wengi wapo tayari. Do something before it is too late plzzzzzzzzzzzzzzz.
Idea nzuri sana ila lazima tufahamu hii haiwezi kuwapa confidence kwa vile kwenye mitandao kuna utapeli mwingi sana. Ingekuwa bora viongozi wa chadema wakauzindua huu mpango rasmi kwenye tv
 
Mawazo kama ya haya ni mazuri sana ila mara baada ya uchaguzi mdogo wa Igunga tulijadili hapa jf na dada Regia naye alichangia, viongozi wetu watambue kuwa muda unaenda na harakisheni mikakati hii.
 
Sipo tayari kuwachangia wachaga. Ruzuku wanazopewa wanafanyia nini?

Posho wanazopewa wanafanyia nini?.

Huu ni wizi wa wazi wazi. Sipo tayari kuchangia hata kumi.

Hujaombwa unatokwa povu kaa pembeni uone wenzio wanafanya nini.
 
Back
Top Bottom