Bro ebu chill kidogo.. Nilipochangia hapo juu kuhusu hii ishu ya US vs NK, nilitazama mbali kama binadamu na hili jambo ni mtambuka sio la NK au USA peke yao bali athari zake ni kidunia (mass destruction).
Silaha za nyuklia madhala yake ni mabaya sana kwa mazingara na radiation na fall out...
Ivi wachambuzi wa mambo ya kimataifa kuna sehemu mnakosea, tunakazana sana kujua hatma ya hii vita lakini mmesahau kwamba north korea inatishia imani dunia sio marekani tu peke ake. Hata sisi izo nyuklia zitatuathiri sana tu, kwa sababu tunajiona tupo mbali aina maana kwamba tupo salama. North...
Mimi ninahisi USA anavyoattack NK anaenda kama kivuli cha UMOJA WA MATAIFA.
kabla ya kujadili outcomes ya hii vita lazima mjue chanzo. Chanzo ni "silaha za nyuklia"
Majaribio ya mara kwa mara ya makombora ya nyuklia yanayofanywa na Korea Kaskazini mbali na taarifa za uchokozi yanaendelea kutia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.