Wajuzi wamambo embu naomba mnieleze ni nini kinaikumba whatsapp siku za hivi karibuni muda huu tena server hazifany kazi na karibu dunia nzima hakuna services ya whatsapp.
Kama sikosei wiki mbili au tatu zilizopita kulitokea tatzo hili na likawa solved ila leo limejitokeza tena ni nini haswa...
Kwa kiswahili chepesi hacker ni mtu mwnywe uelewa mkubwa wa computer programming ( ability of writing codes ) hyu kazi yake ni kuweza kuingia kwnye device ya mtu mwengne bila ruhusa yake inaweza akaingia kwnye laptop simu au server zisizomuhusu na akachukua habari anazotaka
Na hack ni kile...
Kwnye keyboards hapo kuna button ya WI-FI utaona kimnara jaribu kuiwasha ikigoma fanya hvi
Nenda kwnye my computer
Right click thn fungua sehem imeandikwa manage
Utaona sehem kuna device manager
Fungua hapo uangalie myb driver za wireless zitakuwa disabled
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.