Wadau wa JF bila shaka mko salama, Naomba kufahamu mwenye kuelewa., kuna uhusiano gani kati ya BUNDI na MCHAWI kama watu wengi wanavyodai?
Na watu wengine poa husema FISI nae wakati mwingine hutumiwa na wachawi.
Naomba mwenye uelewa apate kunipa Elimu juu ya hili..
Duuuh....hichi kisa kinanihusu kabisa... ila mi sikufanikisha kama wewe mkuu... Mimi nilifanya na Wakenya , tena ni mwaka jana tu miezi ya mwishoni... tulikorofishana sana , mimi ilikuwa issue ya malipo... daaaah...
Pole na hongera sana mkuu...
Pole sana mkuu...
Nna maswali machache kwako,...
1.Huyo mwanamke umezaa nae watoto wangapi?
2.Ushawahi kumuonya mara ngapi?
3.Hizo habari za kusubiliwa na mtu mwingine umesisikia kwa majirani au kwenye kinywa chake?
4.Una umri gani mpaka useme hutaoa tena?
5.Mkiachana na huyo mwanamke are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.