george pk
Senior Member
- Jun 15, 2020
- 123
- 164
Wadau wa JF bila shaka mko salama, Naomba kufahamu mwenye kuelewa., kuna uhusiano gani kati ya BUNDI na MCHAWI kama watu wengi wanavyodai?
Na watu wengine poa husema FISI nae wakati mwingine hutumiwa na wachawi.
Naomba mwenye uelewa apate kunipa Elimu juu ya hili..
Na watu wengine poa husema FISI nae wakati mwingine hutumiwa na wachawi.
Naomba mwenye uelewa apate kunipa Elimu juu ya hili..