Yana pressure kwa vp? Kama we ni mtu mweusi kule hiyo kweli utapata pressure ya racism. Structural racism yaani hata kama umesoma kazi zipo huajiriwi labda uwe kipanga mno.
Kuna ubaguzi wa kwenye mahospitali.
Hivyo vitu kwetu hakuna.
Ila kwa mzungu pressure anayo lakini sio kama ya mtu mweusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.