Prof yuko vizuri, Aliwai kunipa ushauri nilikuwa na tatizo la vipere, kuwa nipunguze stress, na pia muda mwingi baada ya kazi niutumie kuangalia vitu vinavyonipa furaha..na kweli baada ya kufanya hivyo niko vizuri
Ahsante mkuu kwa majibu yako, nakutakia mapambano mema zaidi, ni mdau wako ktk hili jukwaa lako kila siku lazima nipite ktk hili jukwaa..
Soon takutafuta kwa ushauri zaidi..naomba kama hautojari uni pm mawasiliano yako..
Kilimomaarifa.tajiri
Unaweza pia kuwa unatupa update ya bei za "pilipili mbuzi" au wengine wanaita "pilipili uganda" katika masoko mbalimbali hapa nchini..
Itategemea na haina ya miti na location unapofanyia project ya miti, pia usiweke matarajio ya ndani ya miaka 3 kuwa imakulipa, pia kuna cost za kila mwaka katika kuhudumia hiyo miti mpaka wakati wa kuvuna...let say kama miti ya miaka 10_ 15yrs hapo jua una miaka hiyo ya kuhudumia miti yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.