Pole ndugu yangu hiyo gari naifahmu vizuri sana maana nimeitumia zaid ya miaka8 nimeiuza majuzi tu kwanza angalia semost kama iko vuzuri maana ikifa lazima gari kitachemsha tu cha pili angalia rejeta kama imeziba maana ikiziba gari itachemsha pia cha 3 tafuta fundi mzuri wa engine afungue tena...
Kwa arusha hilo tatizo ni kubwa sana kuna jamaa mmoja anaitwa Batee ndio anaongoza kwa kuharibu vijana wadogo ni watu wanao mzunguka wanajua lakini wakitoa ripoti police ni kazi bure maana jamaa anajuana na police
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.