Kwa upimbi huu ndo unadhani utapewa buku 7 kama wenzio??? Thubutuuuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeandika kama ndo unatokea kuzimu
Siku zote mtaji kumbwa wa ccm ni watu wajinga na wapumbavu kama ww, unadhani ruzuku itumika tu bila kujua inaelekea wp na kwa matumizi yepi?? Rudi nenda kasome kanuni za matumizi ya hela ruzuku alafu urudi hapa ndo uje kuchangia mada ukiwa na ufahamu wa nn unachangia
Act wazalendo na ccm ni ndugu moya, hivyo wanandugu wakipigana sisi chadema hatuwezi kuingilia ugomvi wao kwn Act wazalendo kupitia kiongozi wao Zitto zubery kabwe wao katiba mpya na tume huru ya uchaguzi sio kipaumbele chao, wao kipaumbele chao ni kushinda chaguzi kupitia katiba hii hii na tume...
Zawadi inayomstahiri ni kuolewa na makamanda wapambanaji wa chadema...mwambie namhitaji huku chunya mbeya anisaidie kupanga mipango ya kuiendesha biashara yng ya dhahabu [emoji28][emoji28]
Gen Mabeyo alikuwa anajua nani anapaswa atangaze kifo cha magufuri ila nadhani aliwashirikisha baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa kuwapima uelewa wao na ndo maana akatoa amri ya atakayetangaza kifo cha magufuri ni Bibi tozo na mjadara ukaishia hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.