Recent content by genius kipanga

  1. G

    JamiiForums Tanzania Medical Physics Course

    Wakuu samahani msaada, mwenye uelewa kuhusu hii course ya MEDICAL PHYSICS.. kwasasa naiona inatolewa UDSM kwa level ya master Hivi mtu ukisoma master unaweza tambulika na serikali hii bila kua na Degree yake...maana nimeona hata kama una bachelor ya physics unaruhusiwa kuisoma Je, ina impact...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Mimi ni muajiriwa education, nataka soma kozi yoyote ya maji ushauri wenu jamani

    Naombeni ushauri ndugu,ni coz ipi ya maji nzuri ambayo nikimaliza chuo nikafanya recategolization naweza pata ahueni ya maisha.. Wale wa kafanye biashara pliz sitaki...coz now nataka kusoma tu kwanza
  3. G

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa kozi ya Medical Physics ngazi ya Master

    Hakuna anaeijua hii coz eh
  4. G

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa kozi ya Medical Physics ngazi ya Master

    Any coment please
  5. G

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa kozi ya Medical Physics ngazi ya Master

    Wataalamu wenye uelewa wa kozi ya Medical Physics (ngazi ya Master's), hasa kuhusu udahili, fursa zilizopo na ajira, tafadhali ashushe nondo za uzoefu na maarifa yenu.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Natamani kufanya kazi yeyote ya part time ili niweze kuongeza kipato

    Salaam watalaam Kijana nimekuja kwenu kuomba msaada wa mawazo.. Nimeajiriwa sehem lakini sibanwi sana kazini kiasi kwamba nina muda mwingi wa ziada.. Natamani kufanya kazi yeyote ya part time ili niweze kuongeza kipato kwani hakinikidhi mahitaji Swali, je nifanye SHUGHURI ipi aambayo...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari

    Hivi kama aridhi ilipimwa kwa upimwaji shirikishi, then mtu akanunua kufuatilia kiwanja ulichonunua kimeingiliana na kiwanja cha mwingine(vyote vilipimwa kwa shirikishi) Swali: inawezekana kukisajiri upya hicho kiwanja na nikapata hati yake? na kama ndio kipi kifanyike kwanza
  8. G

    JamiiForums Tanzania Namna ya kua mfanyakazi wa delivery kwa kampuni hizo mkoani Mwanza

    Mm ni dereva boda nataka kupata kampuni ya kudeliver mizigo kwa wateja.. Napatikana mwanza sifa na vigezo vyote ninazo ikiwemo dhamana...kwani ni mtumishi japo cjabanwa sana kazini
  9. G

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu udahili UDSM kwa Postgraduate

    Litakua lini
  10. G

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu udahili UDSM kwa Postgraduate

    Nauliza jamani ukitaka kuomba intake ya october kwa UDSM (Master Degree) inatakiwa uombe mwezi wa ngapi? Ninaona kuna dirisha limefunguliwa saizi na mwisho wa kuomba ni mwishoni mwa mwezi huu. Je, hakutakua na dirisha lingine kwa intake ya mwaka huu?
  11. G

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kutafsiri ndoto msaada kidogo

    Habari za kazi wakuu, Aisee kuna ndoto zimekuwa zikinirudia rudia, ninataka pata tafsiri zake kama kuna mwenye atakua na ujuzi huo. Nimekua nikiota sana matukio ya nyuma, yaani ndoto zangu nyingi zinahusu watu wote ambao nilkua nao kipindi niko shule ya msingi au mwanzoni wa sekondari hata...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Anaweza pata ujauzito kwa hivi?

    Mbona ushauri sioni
Back
Top Bottom