Anaweza pata ujauzito kwa hivi?

Anaweza pata ujauzito kwa hivi?

Kati ya kitu siwez kujiamini nacho ni kumwaga nje yaan ntahisi 2 kapitiwa afu kanidanganya au ametoa akiwa kashamwaga😂😂😂maana ata swez kufeel
Sema unapenda joto joto la sperm sio dhambi😂😂
 
Wadau, kuna manzi ameniuliza swali na nimeshindwa nimjibuje.

Alifanya mapenzi na boy wake ilkua siku ya 15 tangu aingie period, walitumia condom bao la kwanza then second round wakafanya bila condom ila bao alimwagia nje.

Anauliza kuna uwezekano kwamba sababu bao la kwanza jamaa kamwagia kwa ndom kukawa na masalia ya sperm kwa uume na mimba ikatungwa, je uwezekano huo upo wadau?
Uterezi ampe mwingine maswali akuulize wewe...
 
Imooo na wala usikimbie majukumu mkuu, it's a blessing mnafunga mwaka kwa kishindo. Wazazi watarijiwa😀
 
Mshikaji gani kakueleza huu usengee?...unahisi wote watoto wenzio humu ndani?
 
Tatz mnakula Wanawake hawajielewi.. Limtu linajiona lipo Danger days alaf linavua chupi.. Pumbaff
 
Unajiitaje genius na suala dogo kama hili hujui. Huyo demu wako ushampa mimba, siku ya 15 ni ya hatari. Ulinogewa mwenyewe ukavua mpira kubali matokeo
Kwanini huwa mnaita siku ya hatari wakati kubeba ujauzito ni suala jema (jokes ila inafikirisha).

Jamaa ajiandae tu asitafute upenyo wa kutoroka, aliona shida kutumia ndom kwa siku hizi chache zenye uwezekano wa kubeba ujauzito alafu aendelee kuloweka kavu kavu baadae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom